Recent content by Ntaganda boy

  1. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Unaenda katika nyumba za ibada ili ufaidike na nini?

    Mara nyingi najiuliza swali juu ya faida ya kusali ni ipi na kwanini watu wanatumia muda mwingi kusali na sio kutafuta mali. Je, kusali ni lazima iwe katika nyumba za ibada au unaweza kusalia sehemu yoyote na kama unaweza kusalia sehemu yoyote kuna faida gani kukutana katika nyumba za ibada...
  2. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ongea tu

    Kauli ya Mwanaume Ongea Tu Si Sahihi Kulingana na matukio mengi ya wanaume kujiondoa uhai na kufanya ukatili kwa wenza wao, watoto, familia na marafiki zao, watu wengi wamekua na muamko wa fikra za kuwahimiza wanaume kuongea na hasa wakitumia familia kama njia kuu ya kupokea hayo maongezi...
  3. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania SoC03 Hakuna muoga wa kufa Duniani

    Na zaidi pia Haipo Dhana ya Kujiua kwa Makusudi, kila siku ni taharuki na hamaki katika mazingira yanayotuzunguka. Watu wengi wana nadhalia zao na nadhalia hizo huchochea jamii kuishi na taharuki wanayoipata baada ya mtu kujiua au kuua na katika kujiua kuna njia mbalimbali mfano; kujirusha...
  4. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania SoC03 Hakuna Watoa Huduma na Huduma Zenyewe

    Wakati tuko kwenye wimbi kubwa la watanzania na dunia nzima kuathiliwa na magonjwa na changamoto za kisaikolojia au magonjwa ya Akili, bado serikali ya Tanzania haijatengeneza miundombinu ya watanzania kuwa na uwezekano wa kupata huduma na kuwepo na huduma zenyewe. Hadi sasa idadi ya wagonjwa...
  5. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania SoC01 Magonjwa ya haiba yanavyoathiri mahusiano

    Asante
  6. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania SoC02 Suluhu ya mauaji na ukatili Tanzania

    SULUHU LA MAUAJI NA UKATILI TANZANIA Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kila kukicha kuna tukio jipya la Ukatili au Mauaji au kujiua. 2021 pekee vifo zaidi 470 vya Watanzania chanzo chake ni ukatili na kujuondoa uhai, taarifa waliyochapisha LHRC May 31 2022. Kuna vitendo zaidi ya 42,414 vya...
  7. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Tendo la ndoa linavyoathiriwa na mawazo

    Ni mara ngapi imeshindwa kuamka.
  8. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Tendo la ndoa linavyoathiriwa na mawazo

    Ndoa ina mambo memgi
  9. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Tendo la ndoa linavyoathiriwa na mawazo

    Tendo la ndoa ni moja ya kiungo cha muhimu na kikubwa kwa wanandoa au watu waliopo kwenye mahusiano. Kuna vikwazo mbalimbali vinavyoweza kusababisha tendo hili lisifanyike kwa ustadi wa juu au lisifanyike kabisa, moja ya sababu kubwa ni mawazo zaidi ni msongo wa nawazo. Msongo wa mawazo...
  10. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania SoC01 Magonjwa ya haiba yanavyoathiri mahusiano

    MAHUSIANO YANAVYOATHIRIWA NA MAGONJWA YA HAIBA (PERSONALITY DISORDERS AND RELATIONSHIP) Habari zenu JamiiForums, hususani jukwaa hili la stories of change. Ni tumaini langu nyote ni wazima Haiba: Ni urithi au vitu unavyozaliwa navyo na baadhi kutoka kwenye mazingira na kukufanya au kumfanya...
  11. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Most expensive schools in Tanzania

    Mwanangu kesho namtaftia size yake
  12. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ______________________________________________________________________
  13. Ntaganda boy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jina gani hutaki kulisikia linalokuumiza kimapenzi?

    Daaaaaaaah hawa wakina ESTHER ni noma
  14. Ntaganda boy

    JamiiForums Tanzania Education and psychology

    IPO ntajarb mkuu ahsant kwa ushaur
Back
Top Bottom