"ENYI WAGALATIA MSIO NA AKILI NI NANI ALIYE WALOGA"....................
kwani ni watu wangapi wameshakufa wakiwa mbali na nyumbani (safarini,ziarani...), leo Mpendwa wa Mungu kachukuliwa unakuwa na mashaka na kifo chake?!!!!
Swali: WE unajua utakufa lini na utkufa kifo gani na mahali gani...
Kwa mtazamo wangu ni bora ukawa unacmamisha unatongoza wenye hzo cfa maeneo unayoishi au unayotembelea, kwa sabab unapata pia na nafasi yakuchunguza mambo yake mengine, kabla yakujicommite kumwoa au la. Ni vizuri kutangaza ni maana utapata wengi wanaosaka nafasi na fulsa kama hzi.,.. Ila kumbuka...
Huu ni wakat wa digital, chenga kdogo2 picha inafutika, tafuta mkwanja utamwoa hata acyekupenda ilimradi ww umtake na yeye ajue una ukwasi! Utaoa na yy akiona amevuna mpunga wakutosha huyooo anasepa au anakuded ili awe owner. So just take care
Au fedha zetu za hazina ndo katumwa agawie wananchi? Akimaliza kundi la bodaboda, bajaji na abiria may b atahamia maoficn kumwaga mchele, so kaenda kuomba ulinzi ili agawe mkwanja? Basi askari watwambie hyo m2 n nani?
Mazoezi yanahusika sana, ila vyakula aina ya mimea ni muhimu zaidi kwani kwanza vinasaidia hata kusafisha mfumo wa damu na mentality, hivyo mwili unakuwa stable kwa mambo mengi ikiwemo kazi za kila siku na hata malovedave
Unakuta mdada ni rafiki tu, mnawasiliana vizuri eitha kwa simu na hata kutembeleana, cha kushangaza ikitokea mdada akiwa na shida akiomba msaada kwako(hasa pesa) ukimpatia tu, kuanzia cku hiyo utaanza kuona anavyokukwepa kisa eti yuko busy! Akiishiwa yeye ndo wakulaumu eti unamtenga! Wapo wadada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.