Kwenye report ya CAG imeonekana kuna mabilioni yamepotea kila secta lakini pia kuna mabilioni kwenye mifuko ya jamii wamekopeshana wafanyakazi wa mifuko ya jamii na mabilioni mengine serikali imekopa na haitaki kulipa.
Hivyo danadana zote hizi wanajua tatizo liko wapi hivyo wanaangalia mdhaifu...
Chama tawala kimekuwa na huu tabia ya kunyang'anya maeneo ya taasisi zingine na kudai ni yao kwa kurudisha umiliki miaka ya nyuma. Hili pia lilijitokeza Geita Shule ya msingi Kalangalala ilipata ufadhilii wa GGM wa kuboreshewa uwanja mwa kuchezea watoto. Walipoona tu mashine zimeanza kufanya...
Wakati kikao cha raisi na wadau wa madini kikiendelea. Napenda kumpongeza raii kwa juhudi anazozifanya ili kuona Tanzania ya viwanda, lakini kuna watendaji wake wanamwangusa aidha kwa makusudi au kwa kutojua wanachokifanya.
Nimewahi kusikia viongozi wakisema, eti wafanyakazi wa sector binafsi...
Bora hata ingekua makaburini lakini sasa haieleweki huyu anakuja na hili, akija yule anakuja na lile. Watendaji ni watu wasioeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu waziri wa ardhi(LUKUVI), kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwa wakazi wa baadhi ya mitaa ya jiji la Mwanza.
Unalo tamko ambalo ulitamka kuhusiana na kurasmisha maeneo yote ambayo siyo rasmi(maeneo ambayo tayari watu walishajenga na wanaishi lakini hayajapimwa), kumekuwa na danadana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.