Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
nirushie namba ya simu ya mh mbunge awe ananipa update maana nayeye ni Diwani.Ngoja tuone mkuu huu mvutano.
Naona kama kuna watu wanajitangazia mamlaka kwenye maeneo yao
nirushie namba ya simu ya mh mbunge awe ananipa update maana nayeye ni Diwani.Ngoja tuone mkuu huu mvutano.
$12,000,000/= ndio fedha ya wapi$12,000,000/= au nimesoma vibaya? kwani wahusika walikua wapi kudai hili deni Mpaka wasikie makinikia yamezuiwa ndio wanaibuka? Hapa iko jambo
Zimbabwe
baada ya posho kukata ndio wamezinduka, mbunge wao nae ameunga mkono au...?$12,000,000/= au nimesoma vibaya? kwani wahusika walikua wapi kudai hili deni Mpaka wasikie makinikia yamezuiwa ndio wanaibuka? Hapa iko jambo
sasa sisi tufanyaje? mgogoro wenyewe ni wa CCMTangia juzi kumekuwepo na mgogoro wa madiwani wa Geita dhidi ya mgodi wa GGM, lakini cha ajabu umekuwa hairipotiwi humu JF wakati ni ishu kubwa kabisa.
Kwani JF ina wana CHADEMA peke yao?Lazima iwe kimya kwa sababu Chadema walitegemea hao madiwani wa CCM wataachwa waandamane illi waseme unaona wameachwa, Sisi tukiandamana tunapigwa, nchi haifai.
Sasa hakuna cha CCM, Chadema, Cuf wala Act.
Ndo maana Uzi wanaupitia pembeni, hauna mtaji wa kisiasa upande Wao.