Kila mtu yuko huru kufanya chochote anachoona kinapendezavmachoni pake ili mladi asivunje sheria za nchi. Kwa hivyo hata mtoa post ametimiza wajibu wake kulingana na mawazo yake.
Kwa ujinga huu upinzan sahauni kuongoza hii nchi kwan hakuna mtanzania hata mmoja ambaye atawaunga mkono kwa kumkashifu rais wa watanzania ambaye anayoyafanya yanaonekana dunian kote. Hakuna nchi ambayo haitaman kuongozwa na jpm chuma cha pua rais mwenye msimamo usioyumba na mawazo chanya kwa...
Wapinzan wapi wa kuungangana? Labda wazaliwe wengine lkn sio hawa kina mbowe, lipumba, zitto na maalim wote wana uchu. Sahau kabisa hicho k2 kutokea tena. Rejea ya ukawa upinzan ulikua na nguvu sana lkn walipojaribu tu kuungana upinzan ukasambaratika. Yuko wapi mwanasiasa makin dk slaa? Leo...
Tanzania inalindwa na mkono wa mungu pekee, sisi kama tanzania tumemkabidhi mungu taifa letu alilinde. Kufunga mipaka wala lockdown haviwez kutusaidia chochote kama mungu wetu akituacha.
Cha mcngi kila mtanzania tuendelee kumuomba mungu atuepushie kikombe hiki. "Heri taifa ambalo bwana ni...
Hakuna kuteteleka ni lazma tusimame imara kuitetea nchi yetu. Sisi ni taifa huru linalojiongoza lenyewe. Ni lazma tupange mipango yetu paspo kuingiliwa. Wakikataa kwenda kwao hatuwez kulazimisha maana ni kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.