Tulofanya tarehe 25 wameanza pandisha matokeo kwenye account zetu.
"Not Selected for Oral Interview" imesomeka tena kwangu.
Kila la kheri wapambanaji. Mimi ni rasmi sasa nijikite kwenye hiki ninachokifanya sasa.
Nimeliwa kichwa kwa nafasi ya TAA, ninasubiri majibu ya NEMC. Kisha nitasubiri kuitwa kwenye interview ya MDAs & LGAs. Ikiwa zote hizi nitashindwa kwenda oral interview basi ninadhani safari yangu ya kuomba ajira itakuwa imeishia hapo. Mwaka wa 9 huu toka nivae joho bado patupu. Ni vema nikubali...
Wakuu pdf ya majina ilionesha muda wa interview ni saa 7:00 AM (Saa moja asubuhi) lakini pdf ya vituo inaonesha interview ni saa 5:00 Asubuhi.
Kwenye recruitment portal profile yangu inaonesha saa 7:00 AM (saa moja asubuhi)
Ipi ya kufuata hapa?
Wakuu, nilituma maombi ya kazi PSRS nikiwa Mkoa "X", hivyo anuani niliyokuwa nimeandika kwenye mfumo na kwenye barua ni ile ya huko Mkoa "X". Status ya maombi bado inasomeka Received. Kwa kifupi ni kwamba hawajatoa shortlist mpaka leo.
Lakini kwa sasa nimehamia Mkoa "Y". Nimebadilisha anuani...
Wakuu, nimerudi tena kwenu.
MWANAMKE MSALITI HAPASWI KUPEWA SECOND CHANCE.
MSAMEHE KISHA ONDOKA.
Nilidhani utani kumbe kweli. Kama awali nilivosema, huyu Mwanamke kumbe ana rafiki yake wa kike ndiye wanajazana ujinga. Nimekuta wanawasiliana na kupeana updates na mbaya zaidi ni yule rafiki ake...
Wakuu.
Habari ya Jumapili.
Wakati wengine mkiwa kwenye maandalizi ya kwenda makazini kesho Jumatatu, ninaomba muendelee kuliona ombi langu hapa.
Mbarikiwe sana.
Mkuu, sitamani kabisa niongee nae tena haya masuala kwasababu nitazidi pokea mambo mapya ambayo yatazidi niviruga.
Kwa sasa acha ni-focus kutafuta kazi yeyote itakayonipatia chochote kitu
Asantee sana Mkuu.
Wengi hawajajua kuwa hio ni short story.
Nina share na wewe WhatsApp number. Umenipa mwanga wa ombi langu lilonifanya niandike haya humu.
Ubarikiwe sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.