Habari wandugu Natafuta Kazi ya ualimu kwa secondary masomo ya math na economics. Kwa shule za private mkoa wa arusha nimemaliza chuo mwaka hu 2016 na nimesomea bachelor of education.
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu continuous wanaotaka kuapply upya ni wanalipia elfu 30 kama hawa wa f6? Naomben msaada wenu coz nina ndugu yang hakupata mkopo mwaka jana.
2natafuta maisha hatutafut ubora wa program 2nazoxoma wa2 ishu ni kukaza bot and try to thnk outside the box and not inside the box afu mleta uz uwe na refence,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.