Utafiti-Wanawake msichelewe kuzaa

Utafiti-Wanawake msichelewe kuzaa

Tusiarakishane bana. Maisha yenyewe haya unamalizia chuo na kukaa nyumbani miaka hata miwili ndo upate kazi ya kueleweka. .. Hapo majukumu kibao,watoto now days st kayumba aziwafai akiwa tu baby class tatakiwa nitenge kiasi cha kutosha kwa ajili ya ada.

Ngoja tu nichelewe mwanangu asitaabike.

We Utataabika Ili Mtoto Wako Asitaabike! Mtataabika Wote Kwani Madhara Hayo Huambatana Na Vifo, Ukifa Ukamuacha Mdogo Tayari Yatima, Au Unaweza Kufa Naye Wakati Unajifungua, ASIYECKIA LA MKUU,,,,
 
We Utataabika Ili Mtoto Wako Asitaabike! Mtataabika Wote Kwani Madhara Hayo Huambatana Na Vifo, Ukifa Ukamuacha Mdogo Tayari Yatima, Au Unaweza Kufa Naye Wakati Unajifungua, ASIYECKIA LA MKUU,,,,

Kifo akitabiriki . Nikifika
 
Mi wasemege tu vyote kwakweli......mengine nitayatimiza kwa wakati/nafasi yangu!
Mbona kulikuwa na kina Sara, Hanna (biblical fact) n.k ambao walichelewa kupata watoto na hawakupata madhara hayo?

Unless otherwise....nipate maelezo ya kutosha! Akili yangu inanituma kwamba kuna mengi yanachangia katika hilo rather than kuchelewa tu kuzaa.
endelea kusubiri nyakati zimebadilika sana asee
 
Mleta Uzi hapo ht mi sijamuelewa kupata HIV kwa anaechelewa kuzaa
Kwa mujibu wa doctor hao wanaochelewa kuzaa siyo kwamba hafanyi wanafanya na wengine wanapata mimba ila wanacholopoa hapo ndo point ya HIV inaingia
 
Kwa hiyo mimba mashuleni ruksaa iki wasije kuchelewa kuzaa eeh
Mkuuu ukisoma vizuri hapo daktari amesema umr mzuri unaofaa ni kuanzia miaka 24-28 nadhani hapo watoto wa shule hawahusiki
 
Wanawake wanaochelewa kuzaa wanakabiliwa na tisho la kupata matatizo ya afya ya uzazi. Huu sio utafititi tu balo maoni ya daktari mmoja mkuu mjini Nairobi Kenya.

Athari za kuchelewa huko ni pamoja na kukumbwa na utasa, tisho la kupata Saratani ya kizazi na matiti pamoja na matatizo wakati wa kujifungua.

Wanawake wengi wanaofanya kazi huchelewa kuzaa mtoto wao wa kwanza hadi wanapofika umri a miaka 35 badala ya kuzaa wakiwa na umri wa miaka 24-28.

Hali hii inaweza kusababisha matatizo ya afya ya uzazi.
Mtaalamu wa afya ya uzazi mjini Nairobi, Daktari John Ong'ech aliyehojiwa kuhusu hoja hii alinukuliwa akisema kuwa ''wanawake kwanza wanataka kusoma masomo ambayo hayaishi, daima wako madarasani na ofisini na kuahirisha kuzaa mtoto wao wa kwanza hii ni hatari kubwa.''

Bwana Ong'ech alisema kuwa wanaochelewesha kuzaa, wanaweza kupata Fibriods au uvimbe katika kizazi, na hata kupata magonjwa kama Saratani ya kizazi au HIV.

Fibroids zinasababishwa na kuzagaa kwa homoni mwilini, kutokana na kutumia mbinu moja ya kupanga uzazi kwa mda mrefu.

Wanaochelewa kuzaa pia wanakabiliwa na tisho la kuzaa kwa njia ya upasuaji au Caesarean .

Hatari hizi ni nyingi tu, sasa chaguo ni kwako.
Source:BBC

****************************
Weekend njema


matokeo haya ya utafiti yalishatolewa tanzania miaka mingi ila watu hawakuwasikiliza matokeo. lkn leo kwa kuwa mkenya/mtu wa nje amesema inaanza kuonekana kama kitu cha maana na kitu kipya. haya sio mapya tayari yalishasemwa miaka mingi tanzania
 
matokeo haya ya utafiti yalishatolewa tanzania miaka mingi ila watu hawakuwasikiliza matokeo. lkn leo kwa kuwa mkenya/mtu wa nje amesema inaanza kuonekana kama kitu cha maana na kitu kipya. haya sio mapya tayari yalishasemwa miaka mingi tanzania
Sawa mkuu ni katika hali ya kukumbushana tu
 
Mi wasemege tu vyote kwakweli......mengine nitayatimiza kwa wakati/nafasi yangu!
Mbona kulikuwa na kina Sara, Hanna (biblical fact) n.k ambao walichelewa kupata watoto na hawakupata madhara hayo?

Unless otherwise....nipate maelezo ya kutosha! Akili yangu inanituma kwamba kuna mengi yanachangia katika hilo rather than kuchelewa tu kuzaa.

Hembu tutafutie mjomba bana acha uvivu...
 
We Utataabika Ili Mtoto Wako Asitaabike! Mtataabika Wote Kwani Madhara Hayo Huambatana Na Vifo, Ukifa Ukamuacha Mdogo Tayari Yatima, Au Unaweza Kufa Naye Wakati Unajifungua, ASIYECKIA LA MKUU,,,,

Kifo hakina umri unaweza zaa na 20 yrs na ukafa na 23yrs, cha muhimu ni kuwa mwaminifu kwa Mungu na uishi maisha marefu.
 
kuzaa mapema sio tatizo sema huyo baba wa kuzaa nae anastahili kuitwa baba maana si kila mwanaume anasifa ya ubaba.
 
Back
Top Bottom