Kagame B atawatesa sana, lakini kila anaehama CDM mwisho wake katika siasa umefika mwisho, muulizeni Nassor Msabah aliekuwa CUF Z'bar yuko hali gani mpaka hivi sasa.
Naamini hata CCM wakitenganisha hizo kofia mbili itakuwa ni hivyo hivyo, kitendo cha Chadema kuwa na mwenyekiti ambae si mgombea uraisi hiyo ni demokrasia ya kweli,hata mwenyekiti akikaa miaka mingi haina shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.