Recent content by Nsee

  1. N

    My Political Analysis on Jambo Leo: Unaweza Kuudanganya Umma kwa Muda Mfupi tu, Sio Wakati Wote!

    Mkuu kiukweli tukitaka kukosoa chama kwa kuangalia weakness za individuals ambao it happened to viongozi; Nahis hapo ndipo tunapojosea kwa sababu kuna watu wachache sana au hawapo kabisa ambao kweli tunaweza.sema ni waadilifu. Na hii si tu katika Chadema alikini hata ktk mazingira mengine ya...
  2. N

    Msaada: Ving'amuzi vinavyoonyesha UEFA

    Guys mmi nimenunua TING HD pale Kibo Tegeta kwenye supermarket ya TSN mwez December 2013. Niliponunua waliniambia ntakua nalipia TZS 8000 kwa mwezi kuanzia January mwaka huu; so kwa mwezi December ni kweli nilienjoy EPL matches ingawa sio zote pamoja shows nyingine kwenye TV channels nyingine...
  3. N

    Hayawi hayawi yamekuwa form v selection hapaa!!!!

    Nisaidie Kujua Melkizedeck Jackson Nkini kama amechaguliwa. Thank you
  4. N

    Watanzania wote tumsaidie ndugu Zitto na wabunge wengine kupata sahihi 70 za wabunge

    Asilimia kubwa ya wanJF wanawakilishwa na wabunge wa CDM ambao are assumed kukubaliana na hoja ya Zitto
  5. N

    Majina ya mawaziri wanaopaswa kujiuzuru yatua mezani kwa JK

    Naomba kujua, Hivi Raisi wa nchi wajibu wake nini anapopata taarifa kama hizi?
  6. N

    Nini maoni yako Kuhusu Muungano?

    Wao wanauzanzibari (utaifa wao) wakati sisi tumeuua utanganyika wetu halafu wanataka usawa katika masuala ya katiba. this is unfair
  7. N

    Madaraka ya Rais wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba

    very analytical, thanks
  8. N

    BUNGENI: Muswada wa mabadiliko ya katiba

    Jamani naomba mnisaidie, mswada ukisomwa kwa mara ya kwanza au ya pili, what are the effects
Back
Top Bottom