Habari za leo wakuu
Nina plan kujenga kagorofa total ocuppied space ya mjengo ni 238sq
Nataman kujua makisio ya labour charge kama fundi,
Natamani kujua makisio kwa floor
14*17
Naombeni msaada
Nilicho observe kiwango kimebaki kile kile ila kwa sabab calculations zina involve dola ndo maana imepanda
Cif value n ile ile ila ukija kuzidosha na rate ya sasa ya dola lazma ukutane na gap la laki kadhaa
Boss biashara ilikua ngumu toka januar to march
Mm ofis yang nmejitahid kuweka mizigo mpiya ila waaap
Jikaze hujalogwa wala nini
Angalia kama factor nyingne ziko constant
Pambana
DAWASA
Mimi ni mwananchi nakaa viwanja vya benki segerea maji ni ya shida mmeweka ratiba jumanne na jumatano ila maji hayatoki, mwanzo mlisema shida n presha kuna kifaa kimeharibika toka mwaka jana maji ni ya kusua sua! Mnatuumiza sana sisi wenye familia maji ya vidumu yanatuumiza sana.
Basi...
Huo mkataba ukiwekwa wazi ndo tutajua kua ni worth au not?
Saiv wengi wetu tunajadili cha kuambiwa na kusikia.
Pewen mkataba msome kwanza
Tunajadilije kitu tusichokijua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.