Hawa siku zote hawawaoendi watanganyika.
Viongozi kutoka Zanzibar ni wengi sana kwenye serikali na wanatibiwa bure kwa kodi zetu,leo hii wanaanza kubagua! Maana yake watanganyika walipo Zanzibar wafe kwa kukosa matibabu!
Nadhani umesahau au ulikuwa hujazaliwa.
Ccm ilipokea misaada kutoka vyama rafiki vya nchi za kijamaa.
Swali je ni kosa la kisheria chadema kupokea misaada?
Juzi tu ccm iliomba msaada wa kuvhamgiwa katika harakati zake za uchaguzi!
Kama ni kosa kupokea msaada mbona hili la ccm hulisemi?
Na kama...
Na wala hatakuaa wa kwanza kufa pasipo hatia.
Wapo wengi tofauti ni moja tu yeye atapatikana na hatia feki wengine wanauliwa tu wakiwa kwenye magari, majumbani n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.