Na wala hatakuaa wa kwanza kufa pasipo hatia.
Wapo wengi tofauti ni moja tu yeye atapatikana na hatia feki wengine wanauliwa tu wakiwa kwenye magari, majumbani n.k
Sheria ya nchi inasemaje?
Mambo ya dini hayaihusu serikali.
Linapokuja swala la haki sheria haiangalii mambo ya dini, kama alimuacha kwa taraka ya mahakama huyo siyo mkewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.