Recent content by Nsarigoko

  1. N

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Hata kama ni kujikomba hii imezidi
  2. N

    I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Na wala hatakuaa wa kwanza kufa pasipo hatia. Wapo wengi tofauti ni moja tu yeye atapatikana na hatia feki wengine wanauliwa tu wakiwa kwenye magari, majumbani n.k
  3. N

    Watu wa Gaza wasema hawawezi kuhama na hawana pa kwenda palipo salama.Wanasubiri wapigwe nyuklia na Israel

    Kama waneshapewa onyo,na kutakiwa kuondoka enoe la mapigano, wakifa damu yao itakuwa juu yao wenyewe wala Idf haidaiwi
  4. N

    GE2025 Samia aahidi kununua matrekta milioni 10 akiingia madarakani kwa awamu ya pili

    Dada yangu,muogope Mungu! Kwani kwa sasa haupo madarakani! Jiuzuru ili mameno ya ahadi yako yalete maana kwa wapiga kura
  5. N

    Tetesi: Rais wa Marekani Donald Trump amefariki?

    Hao huko siyo huku kwenu, anaugua mafua tu wanasema ,alipatwa na korona tu asubuhi matangazo itakuwa kifo!
  6. N

    Hamas Yatishia kuwachinja Mateka Waisraeli huku wakiwaonyesha kwenye Kamera!!!!

    Kwani hao wakifa kwa ajili ya waisraeli wengi kuna shida? Swala ni hamas iindolewe Gaza hata ikiwa gharama yake ni uhai wa hao mateka
  7. N

    GE2025 Mpina afika INEC kurejesha fomu ya Urais ila ameishia Getini

    Pesa zake watamrudishia? Maana kuchukua pesa ya mtu ambaye hana sifa ni kumharalisha au ni wizi huku ukijua unamuibia mtu kwa kutumia sheria
  8. N

    Alichosema Putin kuhusu Afrika

    Mbona hukumsaidia Asad! Umeamua kuwatukana waafrika kwa kumsifia muafrika,pumbafu sana wewe.
  9. N

    GE2025 CCM ipende isipende, jimbo la Tarime Mjini linaenda upinzani

    Kwa tume ipi! Hilo la hilo jimbo kwenda upinzani ni mpango mkakati
  10. N

    Tetesi: Benson Kigaila kurejea Chadema na ataomba msamaha kwa Umma

    Mhh jana alikuwa huku anatafuta vijana wa kugombea udiwani,sijui kama alipata au lah
  11. N

    Una lolote la kusema kuhusu hizi picha?

    Hakuna adui wakudumu,wala rafiki wa kudumu chini ya mbingu
  12. N

    Zaidi ya 1,000,000 waajiriwa sekta ya Kilimo, mnaolalamika maisha magumu njoo shambani

    He ! Kumbe anamiliki mashamba makubwa ya kuajili mamilioni ya watu! Au umekosea?
  13. N

    Mafao ya ustaafu wa Ndugai yaende kwa mjane yupi? Hizi ni kodi zetu, hatutaki kuwalipa mahawara au watu wasiostahili

    Sheria ya nchi inasemaje? Mambo ya dini hayaihusu serikali. Linapokuja swala la haki sheria haiangalii mambo ya dini, kama alimuacha kwa taraka ya mahakama huyo siyo mkewe
Back
Top Bottom