Alichosema Putin kuhusu Afrika

Alichosema Putin kuhusu Afrika

Kama ulikuwa hujui kuwa PUTIN amesema nini kuhusu AFRIKA, wacha nikufahamishe:

RAIS wa URUSI, Mheshimiwa VLADIMIR PUTIN,
Jana amelihutubia taifa na kusema kuwa:
Kuna watu wananilaumu mimi na serikali yangu kwamba,
kwanini naingilia masilahi yao kwa kuamua kumsaidia TRAORE.
Sasa leo wacha niwaambie ukweli, wazungu,
lakini pia wacha niwaambie Waafrika ukweli.
Japokuwa ukweli huu utakua mchungu kwa Waafrika, wacha niwaambie:

"Katika kipindi cha chini ya miaka 20 ijayo,
UFARANSA itakuwa koloni la makoloni yake ya zamani.
Wala sihitaji kuanzisha vita dhidi ya UFARANSA.
Kile ninachohitaji ni kuzikomboa nchi za AFRIKA,
hasa zinazozungumza lugha ya Kifaransa ambazo,
kwa muda mrefu zimekuwa makoloni ya UFARANSA.
Nikizikomboa hizi nchi zikawa na nguvu na miundombinu ya kiuchumi,
pamoja na kiteknolojia na kujisimamia wenyewe kijeshi,
lazima UFARANSA itaanguka yenyewe,
kama tunda lililooza liangukavyo kutoka kwenye mti.

Nani kati yetu sisi wa ULAYA asiyejua ukweli mchungu kuwa
ardhi ya AFRIKA ina uwezo wa kulisha ULAYA, AMERIKA, na ASIA yote?

Lakini kitu pekee ambacho AFRIKA imekosa ni viongozi wenye akili.

AFRIKA imebarikiwa rasilimali adimu duniani,
lakini shida ni viongozi waliolaaniwa, wabinafsi, hawana akili,
na wanaojali familia zao kuliko nchi zao.

AFRIKA ina utajiri mara 20 zaidi ya ULAYA,
lakini AFRIKA ni masikini—masikini takribani zaidi ya mara maelfu kimaendeleo.

Ninachoweza kuwaambia Waafrika ni kwamba,
kama viongozi wao watadhubutu kujitambua
na kuunda sarafu moja ya pamoja kwa ajili ya AFRIKA mzima,
nawahakikishia nchi nyingi za ULAYA zitakuja kuomba misaada AFRIKA.

AFRIKA inamiliki 70% ya maliasili zinazopatikana ulimwenguni,
AFRIKA inamiliki 70% ya malighafi zinazotumika kuunda silaha za nyuklia.

Na wazungu wanajua hilo, lakini kwa kejeli,
bado mpaka leo hii MAREKANI na UFARANSA
wanaujasiri wa kuiita AFRIKA kuwa ni bara masikini zaidi duniani,
kwa sababu tu wazungu hao wamefanikiwa kuwashika akili Waafrika.

Na Waafrika wenyewe walivyo kama mazezeta,
wanaamini kuwa kujipendekeza kwa wazungu ndiyo ujanja,
na wanaamini kuwa ULAYA ni sehemu bora kuishi kuliko AFRIKA,
na wanaliona bara lao kama sehemu mbaya kuliko mabara yote duniani.

Sasa nimeamua kumsapoti ndugu yangu TRAORE,
kwa sababu yeye ameonesha kuwa anajitambua.

TRAORE anajitambua sana kuliko viongozi wote wa AFRIKA na raia wao.

Mimi kama PUTIN, kama RAIS wa URUSI,
nasema hapa leo kuwa nipo tayari kumsaidia kiongozi yeyote atakaye jitambua AFRIKA
ila ujitambue kweli kweli kama TRAORE.

Lakini kama utakuja kwangu ukaniomba msaada,
na kuniambia kuwa sasa wewe na raia wako mnajitambua,
na unataka kuikomboa nchi yako kwa kunidanganya,
utajuta kuzaliwa, kwani URUSI huwa haipendi mambo ya kijinga kijinga."

— amesema PUTIN
Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro.
Putini hapendi wajinga kama kina jk s100 kina Ramaphosa na pimbi zingine za kiafrika zinazoniita viongozi.
 
Dah! Viongozi wasio na Akili humu Africa, aisee ni hatari
Siyo tu Viongozi pamoja na watu wake kama vijana wa CCM kina Lucas Kistivi nyerere na wengine, kutwa mama,Mama.
Mama mwenye anauza rasilimali za inchi
Kwa hiyo elimu yetu haijatukomboa katika kujitawala wenyewe?
Imetuzalishia uchawa
 
Ukweli mchungu sana huu! Nchi nyingi za Afrika zimejaliwa raslimali za kila aina. Ila kwa bahati mbaya sana zimejaliwa kuwa na viongozi/watawala vilaza, wabinafsi, na makuwadi wa kuuza raslimali za nchi zao kwa Wazungu, Wachina na Waarabu!

Na pia nchi nyingi, kama siyo zote! zimenyimwa wananchi wazalendo na wanao jitambua! Yaani asilimia kubwa ya Waafrika (ukiniondoa mimi tu kwenye hilo kundi) ni misukule, maiti zinazo tembea, mapopoma, machawa, majinga ya mwisho kabisa, mabongotole, mataahira, mapoyoyo, mapungasese, makunguru, nk.
 
CHURA a.k.a Dalali sijui hata kama atasoma alicho SEMA PUTIN Kuhusu yy kua mateka w JK. Nina uwakika yuko bze kujua jinsia y mtoto w jux. Kuliko Mambo muhimu kama haya kwajili y nchi YAKE n watu wake. Na huu ndio ukweli wenyewe ndugu putin.
Asante
KAZI ni kipimo cha utu
 
Kama ulikuwa hujui kuwa PUTIN amesema nini kuhusu AFRIKA, wacha nikufahamishe:

RAIS wa URUSI, Mheshimiwa VLADIMIR PUTIN,
Jana amelihutubia taifa na kusema kuwa:
Kuna watu wananilaumu mimi na serikali yangu kwamba,
kwanini naingilia masilahi yao kwa kuamua kumsaidia TRAORE.
Sasa leo wacha niwaambie ukweli, wazungu,
lakini pia wacha niwaambie Waafrika ukweli.
Japokuwa ukweli huu utakua mchungu kwa Waafrika, wacha niwaambie:

"Katika kipindi cha chini ya miaka 20 ijayo,
UFARANSA itakuwa koloni la makoloni yake ya zamani.
Wala sihitaji kuanzisha vita dhidi ya UFARANSA.
Kile ninachohitaji ni kuzikomboa nchi za AFRIKA,
hasa zinazozungumza lugha ya Kifaransa ambazo,
kwa muda mrefu zimekuwa makoloni ya UFARANSA.
Nikizikomboa hizi nchi zikawa na nguvu na miundombinu ya kiuchumi,
pamoja na kiteknolojia na kujisimamia wenyewe kijeshi,
lazima UFARANSA itaanguka yenyewe,
kama tunda lililooza liangukavyo kutoka kwenye mti.

Nani kati yetu sisi wa ULAYA asiyejua ukweli mchungu kuwa
ardhi ya AFRIKA ina uwezo wa kulisha ULAYA, AMERIKA, na ASIA yote?

Lakini kitu pekee ambacho AFRIKA imekosa ni viongozi wenye akili.

AFRIKA imebarikiwa rasilimali adimu duniani,
lakini shida ni viongozi waliolaaniwa, wabinafsi, hawana akili,
na wanaojali familia zao kuliko nchi zao.

AFRIKA ina utajiri mara 20 zaidi ya ULAYA,
lakini AFRIKA ni masikini—masikini takribani zaidi ya mara maelfu kimaendeleo.

Ninachoweza kuwaambia Waafrika ni kwamba,
kama viongozi wao watadhubutu kujitambua
na kuunda sarafu moja ya pamoja kwa ajili ya AFRIKA mzima,
nawahakikishia nchi nyingi za ULAYA zitakuja kuomba misaada AFRIKA.

AFRIKA inamiliki 70% ya maliasili zinazopatikana ulimwenguni,
AFRIKA inamiliki 70% ya malighafi zinazotumika kuunda silaha za nyuklia.

Na wazungu wanajua hilo, lakini kwa kejeli,
bado mpaka leo hii MAREKANI na UFARANSA
wanaujasiri wa kuiita AFRIKA kuwa ni bara masikini zaidi duniani,
kwa sababu tu wazungu hao wamefanikiwa kuwashika akili Waafrika.

Na Waafrika wenyewe walivyo kama mazezeta,
wanaamini kuwa kujipendekeza kwa wazungu ndiyo ujanja,
na wanaamini kuwa ULAYA ni sehemu bora kuishi kuliko AFRIKA,
na wanaliona bara lao kama sehemu mbaya kuliko mabara yote duniani.

Sasa nimeamua kumsapoti ndugu yangu TRAORE,
kwa sababu yeye ameonesha kuwa anajitambua.

TRAORE anajitambua sana kuliko viongozi wote wa AFRIKA na raia wao.

Mimi kama PUTIN, kama RAIS wa URUSI,
nasema hapa leo kuwa nipo tayari kumsaidia kiongozi yeyote atakaye jitambua AFRIKA
ila ujitambue kweli kweli kama TRAORE.

Lakini kama utakuja kwangu ukaniomba msaada,
na kuniambia kuwa sasa wewe na raia wako mnajitambua,
na unataka kuikomboa nchi yako kwa kunidanganya,
utajuta kuzaliwa, kwani URUSI huwa haipendi mambo ya kijinga kijinga."

— amesema PUTIN
Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro.
Mbona hukumsaidia Asad! Umeamua kuwatukana waafrika kwa kumsifia muafrika,pumbafu sana wewe.
 
1756130926695.jpg
 
Sidhani kama
Kama ulikuwa hujui kuwa PUTIN amesema nini kuhusu AFRIKA, wacha nikufahamishe:

RAIS wa URUSI, Mheshimiwa VLADIMIR PUTIN,
Jana amelihutubia taifa na kusema kuwa:
Kuna watu wananilaumu mimi na serikali yangu kwamba,
kwanini naingilia masilahi yao kwa kuamua kumsaidia TRAORE.
Sasa leo wacha niwaambie ukweli, wazungu,
lakini pia wacha niwaambie Waafrika ukweli.
Japokuwa ukweli huu utakua mchungu kwa Waafrika, wacha niwaambie:

"Katika kipindi cha chini ya miaka 20 ijayo,
UFARANSA itakuwa koloni la makoloni yake ya zamani.
Wala sihitaji kuanzisha vita dhidi ya UFARANSA.
Kile ninachohitaji ni kuzikomboa nchi za AFRIKA,
hasa zinazozungumza lugha ya Kifaransa ambazo,
kwa muda mrefu zimekuwa makoloni ya UFARANSA.
Nikizikomboa hizi nchi zikawa na nguvu na miundombinu ya kiuchumi,
pamoja na kiteknolojia na kujisimamia wenyewe kijeshi,
lazima UFARANSA itaanguka yenyewe,
kama tunda lililooza liangukavyo kutoka kwenye mti.

Nani kati yetu sisi wa ULAYA asiyejua ukweli mchungu kuwa
ardhi ya AFRIKA ina uwezo wa kulisha ULAYA, AMERIKA, na ASIA yote?

Lakini kitu pekee ambacho AFRIKA imekosa ni viongozi wenye akili.

AFRIKA imebarikiwa rasilimali adimu duniani,
lakini shida ni viongozi waliolaaniwa, wabinafsi, hawana akili,
na wanaojali familia zao kuliko nchi zao.

AFRIKA ina utajiri mara 20 zaidi ya ULAYA,
lakini AFRIKA ni masikini—masikini takribani zaidi ya mara maelfu kimaendeleo.

Ninachoweza kuwaambia Waafrika ni kwamba,
kama viongozi wao watadhubutu kujitambua
na kuunda sarafu moja ya pamoja kwa ajili ya AFRIKA mzima,
nawahakikishia nchi nyingi za ULAYA zitakuja kuomba misaada AFRIKA.

AFRIKA inamiliki 70% ya maliasili zinazopatikana ulimwenguni,
AFRIKA inamiliki 70% ya malighafi zinazotumika kuunda silaha za nyuklia.

Na wazungu wanajua hilo, lakini kwa kejeli,
bado mpaka leo hii MAREKANI na UFARANSA
wanaujasiri wa kuiita AFRIKA kuwa ni bara masikini zaidi duniani,
kwa sababu tu wazungu hao wamefanikiwa kuwashika akili Waafrika.

Na Waafrika wenyewe walivyo kama mazezeta,
wanaamini kuwa kujipendekeza kwa wazungu ndiyo ujanja,
na wanaamini kuwa ULAYA ni sehemu bora kuishi kuliko AFRIKA,
na wanaliona bara lao kama sehemu mbaya kuliko mabara yote duniani.

Sasa nimeamua kumsapoti ndugu yangu TRAORE,
kwa sababu yeye ameonesha kuwa anajitambua.

TRAORE anajitambua sana kuliko viongozi wote wa AFRIKA na raia wao.

Mimi kama PUTIN, kama RAIS wa URUSI,
nasema hapa leo kuwa nipo tayari kumsaidia kiongozi yeyote atakaye jitambua AFRIKA
ila ujitambue kweli kweli kama TRAORE.

Lakini kama utakuja kwangu ukaniomba msaada,
na kuniambia kuwa sasa wewe na raia wako mnajitambua,
na unataka kuikomboa nchi yako kwa kunidanganya,
utajuta kuzaliwa, kwani URUSI huwa haipendi mambo ya kijinga kijinga."

— amesema PUTIN
Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro.
Put in ataweza kuzungumza lugha hiyo.
Ni kweli viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana. Wangeaminiana na kushirikiana Afrika ingesonga mbele. Lakini ikumbukwe pia kuwa Putin ni Mzungu. Hivyo naye ana maslahi yake.
 
Hata mimi kijana wa kiafrika ambae najitambua, najua kikwazo cha maendeleo Afrika ni viongozi wetu.

Tuliowapa dhamana ya kutuongoza wanatufelisha, tena kwa makusudi naweza sema.

Kuna nyakati huwa nakubali kua kusoma na kuelewa ni vitu viwili visivyo na mahusiano kabisa.
 
Kama ulikuwa hujui kuwa PUTIN amesema nini kuhusu AFRIKA, wacha nikufahamishe:

RAIS wa URUSI, Mheshimiwa VLADIMIR PUTIN,
Jana amelihutubia taifa na kusema kuwa:
Kuna watu wananilaumu mimi na serikali yangu kwamba,
kwanini naingilia masilahi yao kwa kuamua kumsaidia TRAORE.
Sasa leo wacha niwaambie ukweli, wazungu,
lakini pia wacha niwaambie Waafrika ukweli.
Japokuwa ukweli huu utakua mchungu kwa Waafrika, wacha niwaambie:

"Katika kipindi cha chini ya miaka 20 ijayo,
UFARANSA itakuwa koloni la makoloni yake ya zamani.
Wala sihitaji kuanzisha vita dhidi ya UFARANSA.
Kile ninachohitaji ni kuzikomboa nchi za AFRIKA,
hasa zinazozungumza lugha ya Kifaransa ambazo,
kwa muda mrefu zimekuwa makoloni ya UFARANSA.
Nikizikomboa hizi nchi zikawa na nguvu na miundombinu ya kiuchumi,
pamoja na kiteknolojia na kujisimamia wenyewe kijeshi,
lazima UFARANSA itaanguka yenyewe,
kama tunda lililooza liangukavyo kutoka kwenye mti.

Nani kati yetu sisi wa ULAYA asiyejua ukweli mchungu kuwa
ardhi ya AFRIKA ina uwezo wa kulisha ULAYA, AMERIKA, na ASIA yote?

Lakini kitu pekee ambacho AFRIKA imekosa ni viongozi wenye akili.

AFRIKA imebarikiwa rasilimali adimu duniani,
lakini shida ni viongozi waliolaaniwa, wabinafsi, hawana akili,
na wanaojali familia zao kuliko nchi zao.

AFRIKA ina utajiri mara 20 zaidi ya ULAYA,
lakini AFRIKA ni masikini—masikini takribani zaidi ya mara maelfu kimaendeleo.

Ninachoweza kuwaambia Waafrika ni kwamba,
kama viongozi wao watadhubutu kujitambua
na kuunda sarafu moja ya pamoja kwa ajili ya AFRIKA mzima,
nawahakikishia nchi nyingi za ULAYA zitakuja kuomba misaada AFRIKA.

AFRIKA inamiliki 70% ya maliasili zinazopatikana ulimwenguni,
AFRIKA inamiliki 70% ya malighafi zinazotumika kuunda silaha za nyuklia.

Na wazungu wanajua hilo, lakini kwa kejeli,
bado mpaka leo hii MAREKANI na UFARANSA
wanaujasiri wa kuiita AFRIKA kuwa ni bara masikini zaidi duniani,
kwa sababu tu wazungu hao wamefanikiwa kuwashika akili Waafrika.

Na Waafrika wenyewe walivyo kama mazezeta,
wanaamini kuwa kujipendekeza kwa wazungu ndiyo ujanja,
na wanaamini kuwa ULAYA ni sehemu bora kuishi kuliko AFRIKA,
na wanaliona bara lao kama sehemu mbaya kuliko mabara yote duniani.

Sasa nimeamua kumsapoti ndugu yangu TRAORE,
kwa sababu yeye ameonesha kuwa anajitambua.

TRAORE anajitambua sana kuliko viongozi wote wa AFRIKA na raia wao.

Mimi kama PUTIN, kama RAIS wa URUSI,
nasema hapa leo kuwa nipo tayari kumsaidia kiongozi yeyote atakaye jitambua AFRIKA
ila ujitambue kweli kweli kama TRAORE.

Lakini kama utakuja kwangu ukaniomba msaada,
na kuniambia kuwa sasa wewe na raia wako mnajitambua,
na unataka kuikomboa nchi yako kwa kunidanganya,
utajuta kuzaliwa, kwani URUSI huwa haipendi mambo ya kijinga kijinga."

— amesema PUTIN
Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka Morogoro.
Ni wapi tutaipata hii hotuba? Weka chanzo.
 
Back
Top Bottom