Sidhani km hii ni namna ya kukwepa kisu, yule jamaa atatumbua tu km alikua ameshapanga kufanya hvyo kwakua sababu ya kumtumbua bado ingalipo na wala haiwez kubatilika eti kwa kuwa hii barua imetoka kabla kuwa official...
Bro kila mkoa hao viumbe wapo asee, namna ya kuwakwepa ni kutafuta loji au gesti house standard, unaenda kulala loji za vichochoroni na za bei chee afu ushangae hyo kitu? Pole asee...alafu angalia unaweza kuwaleta hata nyumbani kwako wakiingia ktk baadh ya nguo zako, wanasafiri kwa namna hyo...
Hapana, labda kama unataka ubishi tu (naweza kukukubalia ), ktk kiarabu na kituruki hyo kitu inakaa kushoto na wenye lugha yao wanaelewa tu na dunia uliyoitaja pia inaelewa...na nakuhakikishia pia ktk Kiswahili chetu pia inakua hvyo...lakini kwasababu tu hujawah kuona hvyo ndo inakupa ukakasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.