Recent content by Nrangoo

  1. Nrangoo

    Biashara ya kahawa,inavyonitoa kwenye umaskini niliokua nao taratibu.

    Mimi nashangaa Sana vitu vizuri kama hivi muamko unakuwa mdogo, sehemu nyingi wanazosema wanauza kahawa nimejaribu Sana zile siyo kahawa halisi, Kwa mtu anayefahamu hata Kwa harufu tu anagundua kuwa zile siyo kahawa Bali ni kitu kingine tofauti, lakini bado tunayo nafasi ya kubadili mtizamo ...
  2. Nrangoo

    Biashara ya kahawa,inavyonitoa kwenye umaskini niliokua nao taratibu.

    Kuna wakati nimewahi kufikiria kufanya hii kitu lakini bado nitafanya Tu, it's just a matter of time. Mkuu kama unaweza unaweza kufungua pia Coffee Pub, kama wanavyokuwa na Alcohol Pub basi wewe unakuwa na Pub yako ya Coffee, wateja wapo wengi Tu sema ni vile hawajapata maeneo yao ya kukaa na...
  3. Nrangoo

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kina ukubwa gani, Kibaha Kwa mfipa unafika?
  4. Nrangoo

    Huu mwaka 2025 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

    Habari wakuu.. Awali ya yote nimshukuru Mungu Kwa wakati huu aliotujalia na vilevile nitoe pole kwetu sote Watanganyika kwa madhila yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, kila mmoja ameathirika kwa namna moja ama nyingine lakini zaidi kwa familia zilizopoteza wapendwa wao, Mungu...
  5. Nrangoo

    Japo mwaka 2025 unaisha usikate tamaa

    Habari wakuu.. Awali ya yote nimshukuru Mungu Kwa wakati huu aliotujalia na vilevile nitoe pole kwetu sote Watanganyika kwa madhila yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, kila mmoja ameathirika kwa namna moja ama nyingine lakini zaidi kwa familia zilizopoteza wapendwa wao, Mungu...
  6. Nrangoo

    Watu wa karibu wasimulia chanzo cha kifo cha Daktari Magreth huko Kilimanjaro

    Naona watu mnazungumza bila kuwa na taarifa za kutosha kuhusiana na kifo cha daktari, na wengi mnazungumza kwa hisia. Kwa kifupi iko hivi , Mzazi wake Dr Magreth pengine ndiyo chanzo cha haya yote. Magreth alishampeleka mchumba wake nyumbani kwa mzee wake akamkataa na alimgomea mara kadhaa...
  7. Nrangoo

    Tetesi: Daktari Magreth aliyejiua inadaiwa ni kwasababu ya mchumba wake kukataliwa kwao

    Naona watu mnazungumza bila kuwa na taarifa za kutosha kuhusiana na kifo cha daktari, na wengi mnazungumza kwa hisia. Kwa kifupi iko hivi, Mzazi wake Dkt. Magreth pengine ndiyo chanzo cha haya yote. Magreth alishampeleka mchumba wake nyumbani kwa mzee wake akamkataa na alimgomea mara...
  8. Nrangoo

    Utamu wa Kuoa: Hii Siri Mabachela Hawaijui

    Tulia hapohapo wanakuja mashoga wa kataa ndoa kuja kukupinga kwa nguvu zote
  9. Nrangoo

    House4Rent Natafuta nyumba ya kupanga Kigamboni

    Bei isizidi 150000
  10. Nrangoo

    House4Rent Natafuta nyumba ya kupanga Kigamboni

    Habari ya wakati huu wadau. Nahitaji nyumba ya kupanga Kigamboni , haswa eneo la Mjimwema au Gezaulole . Sifa : Nyumba iwe na master bedroom, Sebule na Jiko, isiwe mbali na barabara, Umeme na Maji viwepo. Kwa mwenye kuweza kunifanikishia hitaji hilo tafadhali naomba tuwasiliane. Natanguliza...
Back
Top Bottom