Yaani alivyokuwa limbukeni! Bora hata angeendesha swala au phenix angalau! Na huko mkofia ndiyo kabisa karikoroga! Sijui waendesha baiskeli wangapi wa hapo mahala Wanavaa hiyo mikofia.
Omba Omba yule na wengine kama yeye uwa na matatizo ya Kula madawa ya kulevya.. Kwa kifupi wengi wao mateja.. Omba Omba wa mtoni usomlinganishe na kwetu. Na mpaka sehemu za kuishi za bure zipo ( zinaitwa shelters). Ila wa nakuwa hawataki kukaa kule kwa sababu ya masharti magumu, mf mida ya Kula...
Hali ya kisiasa DRC siyo rafiki tena kwa kagame, hivi haujiulizi hizo pesa zote zinazokuaanywa kwa Kodi nk nk zinakwenda wapi? Hela mtaani hakuna! Baba analisha nyumba yake na nyumba ya jirani! Naomba niishie hapa...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.