Recent content by noweezy

  1. noweezy

    Sakata la Diamond; Je, Shonza anatumika na Clouds au ana uwezo mdogo au yote?

    Hahahahah unapanga serikali kisa dimond kaguswa au unaajipya kama ulijuwa hafai kwani usiseme. Wakat umefungwa hizo nyimbo unasema leo sababu dimond wew ndio rais asikilize utumbo wako wew muendeshe rais wa wasafi kamshauri sio mpiganaji wetu JPM huwa hapelekwi na ushaur wa wanywa viroba...
  2. noweezy

    Diamond wakikubania sana hama nchi

    Kwahiyo ktika nyimbo zilizo fungiwa ipo ya mond tu au ndie yeye asiguswe kwenda nchi za nje hajaenda kwa sababu aitangaze tanzania anatafuta hela sasa kama kaonewa wazir alishasema zipo taratibu za kufata sema hapa bongo kuna watu wanajifanya wao king..mwambie arudie verse ktk wimbo wao "...
  3. noweezy

    Idea zipo mtaji hakuna hii inauma

    Hilo ndio tatizo la vijana wengi kuwa viazi yaan utamkuta boy anamiliki simu bei kali tu lakin anakuomba buku ya vocha ila upande mwengine vijana wengi wanagight ila kinavhopatikana kuenda kununua pqmba na ku spend na mtoto mzuuuuliii..
  4. noweezy

    Niko katika wakati mgumu kuliko wakati wowote wa maisha yangu

    Mpiganaji ila tambua hata dhahabu ili ingae lazima ipite ktk moto mkali so karibu neema inakaribia kama vipi nichek PM tujadili vzr
  5. noweezy

    Mahakama yamuamuru Shilole kumlipa Mary Musa TZS 14M kama fidia ya kutokuhudhuria kwenye show

    Ahilole umekanyaga pabaya..utajifunza siku ya pili huo ni wiz wa kuaminika.
  6. noweezy

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amepata ajali na kupelekwa hospitali ya Mount Meru

    Naona watz wamekosa imani na polisi lakini polisi wengi ni ndugu zenu mnaoishi nao na polis hawana tatizo kwa watu ambao wanatii sheria ukiwa muhalifu lazima uwachukie polis..kuna wilaya wanajenga vituo vya polis ili waweze kuish kwa amani kaz ya polis ni kuhakikisha amani na utulivu...
  7. noweezy

    Msaada:Nimekosa choo kwa muda siku tano nitumie dawa gani?

    Huwez kupata choo kamahujakula chakula na kushiba kabisa ndio utabata choo...kwenda haja kubwa ni laZzima kama utakula kushiba ila wengi wenu huwa mnaishia kula vyakula vya ajabu ges nyingi hakuna msosi wenye uzito ..kula wali ugali ..ndiz acha kula. Chips
  8. noweezy

    Mtumishi wa TRA, Hassan Abuutwalib (Kiringo) ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kulawiti Mtoto

    Huyu jamaa hapa mjin zenji anatuhuma na pia amekuwa maarufu kwa huo ufuska wake yaan kama nchi zingine wangekuwa washampoteza
  9. noweezy

    Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), tarehe 3/3/2018 kuandamana kumung'oa Mwigulu Nchemba

    Kila kitu kina utaratibu mheshimiwa mwigulu anahusikaje au tujiulize mkuu simon sirro anahusikaje. Kila kitu kinakuwa kina chain of command hata hao polis huwa hawafyatui risasi bila kupewa maelekezo na kuna hatua za kuzima fujo na kuna stage ya kutumia risasi ya moto unaongea kwa...
  10. noweezy

    Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

    Kaza kijemedar ila ni heri kuwatia mikononi ili wakaanzishe life yao maana itakuwa ndio mchezo wao muda mrefu so inawezekana hata watoto sio wako so cha msingi wakamate then uwatimue wote alafu jenga nchi uchumi wa viwanda ukuwe watoto wetu wale faida za bava zao
  11. noweezy

    Kwa maisha wanayoishi ndugu zake Harmonize halafu nikimuona anatoa mil 9 kwa wengine, inaniuma sana

    Itikadi za ubinafs ndugu yako huwez kumuacha kumsaidia ikiwa unauwezo wa kumsaidia..ndio mana wahindi wanawatuma coz ya ubinafsi
  12. noweezy

    Rais Magufuli atangaza vita na Wacheza Uchi na wavaa nusu uchi, adai ni kupungua kwa Maadili

    Hapa ameongea jambo la msingi kwa taifa maana bongo fleva na bongo movi wengine hufanya hiz kaz kutafuta soko lao binafsi..ndio mana hawauzi kaz zao ila wanquza kila wanacholenga wanakijuwa. Huu umalaya uko wa aina nyingi nafikiria kuna watu waraathirika kibiashara lakin wawe wavumilivy...
  13. noweezy

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Wew ukiona kaenda kwa mwengine ujue wew usgafutwa ..huu muda sio wa kulia na mapenzi lia na hela wanawake wapo mingi sana
  14. noweezy

    Nape na Nyalandu mjiandae kisaikolojia kufutwa

    Utafanya nin unaza vita kupiga na Ak wenzako wanatupa wanaamua wajifiche bila hiyo kitu
  15. noweezy

    Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

    Hahahah ndio maisha yetu maana muda wowote watu wasiojulikana wanavamia
Back
Top Bottom