Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Waziri badala ajenge miundominu ya kusaidia sanaa yeye anakurupuka kufungia kazi ya msanii bila hata kumuita na kujadili naye juu ya hiyo sanaa wanayoifungia.
Hii nchi ishakuwa ya ajabu sana ,hivi nyie Basata au mawaziri wa sanaa mmeshawah kuwasaidia nini wasanii au kuwainua katika swala La mziki ,
Mkatae mkubali Diamond katutangaza duniani anapoenda kwenye matamasha makubwa ya nchi anabeba Bendera ya nchi ya Tanzania,anapotengeneza video anatumia gharama kubwa sana, pia kuwapata hao wasanii anaowashirikisha ni kazi kubwa,
Halafu anatokea mtu amekurupuka huko eti anamfungia nyimbo wakati hata kuwasaidia wasanii wenu hakuna inafanya mtu afikirie sana. Kwa upande wangu Diamond alivyojibu ni sahihii kabisa na ikibidi kama figisu zinazidi hama tu tutakuelewa maana hili linchi halieleweki yaan ni bongo bahati mbaya ,
Mnazuia mziki wa diamond zuieni na channel tunazoangalia za miziki ya duniani huko. Kwanza sisi mwenyewe tunapenda kuona hivyo vichuchu na vikalio kwenye video na mauno ya feni, maadili my foot hatuyataki hayo maadili yenu sisi yana msaada gani?
Kwa hili Basata fanyeni kazi zingine Hamna msaada na wasanii wa hapa nyumbani. Diamond wakibana hama na hiyo wasafi TV hamishia hata Kenya waimbe wao Basata tuone nani atasikiliza mfyuuuuuu zao.
Halaf li Diamond limenifurahisha kweli likaachia na African beauty eheheh likazidi kuwachafua haswa, Hivi we Shonza una maadili gani!? Diamond yupo jui acheni kumshusha, sijui Watanzania tupoje baadhi yetu au unamtaka Diamond akukaze nini maana kwenye Yale mambo yetu Diamond ni balaa
haha mbona tanzania support ipo...those 25 million..hata akihama still he will get those 25 million support akiwa huko nchi za wengine...kwani you tube ipo tanzania tu?! vevo ipo tanzania tu?! stream za kudownload album yake zipo bongo tu?! kwamba akihama anahama nazoMwambie ahame anachelewa. 2one how Far he can Go,without Tanzania support.[emoji13] [emoji41] [emoji41]
Ahame sasahaha mbona tanzania support ipo...those 25 million..hata akihama still he will get those 25 million support akiwa huko nchi za wengine...kwani you tube ipo tanzania tu?! vevo ipo tanzania tu?! stream za kudownload album yake zipo bongo tu?! kwamba akihama anahama nazo
haha mbona tanzania support ipo...those 25 million..hata akihama still he will get those 25 million support akiwa huko nchi za wengine...kwani you tube ipo tanzania tu?! vevo ipo tanzania tu?! stream za kudownload album yake zipo bongo tu?! kwamba akihama anahama nazo
point !Kisjajijengea jina kubwa sana duniani na Watanzania wanaojitambua wataendelea kumsupport tu kwani watamuelewa kwanini kaamua kuhama na kuchukua uraia wa Kenya au nchi yoyote ile ya Africa ila wasiojitambua ndiyo wanampinga. Na muziki wa DP ni kama maji tu usipotaka kuyanywa basi huwezi kukwepa kuyaoga.
point !
kwakweli labda wamtoe uhai kama alivyosema lakini wa kumshusha binadamu hamna
shukran ya punda mateke siku zote
lakin ni vema haya yakitokea mana sasa atawajua wapi wazuri kwake na wapi wabaya kwake
yaan mwanamke humtunzi wala kujua hali yake halaf unakuja kumpangia kazi kweliAhame nchi tu hapo Kenya watampokea kwa mikono miwili na kumpa uraia haraka sana au nchi yoyote ile Afrika ambayo aitakayo. Hii nchi imejaa mashetani waliojivisha ngozi ya uongozi. Wanataka wao tu ndiyo waishi maisha ya hali ya juu wakiona walala hoi nao wanaibuka kimaisha wanaanza kuwawekea vikwazo mbali mbali vya kuwakwamisha.
Nchi imejaa wapumbavu wa hali ya juu. Wanajifanya wao watu wa maadili sana kumbe hawana maadili yoyote yale.