Recent content by Novell

  1. N

    Loan board

    Ukishamaliza kujaza kila kitu kinachotakiwa kitakuja,yan form nzma ya taarifa zako na form za serikali za mtaa na mahakaman pamoja na viambatanishi
  2. N

    Kujisajili na bodi ya mikopo

    Je mlipofungua OLAS mmechagua link ya 'First time applicants au Registered users'? Ukishalipa kw m-pesa unachagua first time applicant kuna form itakuja ya kujiregister, hapo utaweza kucreate password then una-submitt, halafu utalog in kwa kufuata maelekezo.
  3. N

    maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wahitimu waliomaliza kidato cha sita2014

    Hapana, watasubiri mpaka mwakani ndio wataomba pamoja na form six watakaomaliza 2015.
  4. N

    maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wahitimu waliomaliza kidato cha sita2014

    Mimi nilipiga simu bodi kuuliza maana nina wadogo zangu wamemaliza mwaka huu, wakaniambia inatakiwa waombe km wana mpango wa kusoma chuo mwaka huu. Deadline tarehe 30 june na wamesema wao hawana session nyingine y kuapply hii ikishafungwa.
  5. N

    maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wahitimu waliomaliza kidato cha sita2014

    Lipa 30,000 kwa m-pesa then ingia website ya bodi Higher Education Students' Loans Board utaona sehemu ya kuapply loan. Tunza reference number ya m-pesa maana utaijaza unapo-apply
  6. N

    Kuitwa kazini Access Bank

    Kuna binamu yangu alipigiwa simu na walishaanza training wana wiki kama 3 sasa.
  7. N

    Msaada wakuu

    Habari zenu wadau Nina mdogo wangu alikua anaapply mkopo Online (OLAS), alifanikiwa kuweka password kama inavyotakiwa. Sasa kila akitaka kulog in system inamgomea na kuleta ujumbe kwamba details anazoingiza hazifanan na alizoweka mwanzo wakati ni hizo hizo hakuna kilichobadilika...
  8. N

    Ni Mjazito Hataki Wazazi Wajue?

    Please waambie wazazi wako. Ukiendelea kuficha unampa nafasi ya kuitoa na kupata madhara zaidi:confused2:
Back
Top Bottom