Huyo binamu ako aliomba nafac ganKuna binamu yangu alipigiwa simu na walishaanza training wana wiki kama 3 sasa.
Thanks kwa tarifa mkuu,,sasa nimeelwakuna jamaa nlikuwa naye nkasikia akiongelea mambo ya training. anaondoka dar in two days kwenda mwanza. sina details zaidi
Nimekupata mdau ,thanks kw tarifa mkuuTraining ya loan officers inaanza tar26 mei. Training iliyomalizka tarehe 10 kwa marketers, cashiers na customer service oficers tayar wameitwa kazn kuanzia june. Ni mim mdau wa AccessBank