Recent content by Notorious king

  1. N

    Deontay Wilder vs Tyson Fury -2

    Kwel ulipatia kampiga kiulaini kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Uraibu wa michezo ya kubahatisha unanipa umasikini, nijitoe vipi?

    Naona umempa ushauri wa namna ya kutokuacha[emoji12] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    Kwanini baadhi ya ajira za mashirika ya umma michakato yake haipitii utumishi?

    Nakupongeza kwa maelezo ya kina n yasiyokua na shaka kuhusu ukwel wake..taasisi zilizo vizur hazipitii utumish mchakato wake wa ajira hivyo kutoa room ya kubebana..mamlaka husika zichukue hatua..ili watoto wa wakulima na maskin wapate kula cake ya inchi yao.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    Polisi Arusha wafanya unyama wa Kutisha

    Hiv angekua ndugu yako ungecoment ulivyo comment. Unaamin mtu anaweza mnyang'anya askari bunduki ndani ya kituo cha police??..kuwa na utu ndugu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. N

    Tukatae Tukubali kwa hali hii ya msisha kama huna wa kukushika mkono kutoka kimaisha ni ngumu

    Usikate tamaa..amin unachofanya vijana wengi wamefanikiwa bila kushikwa mkono. Muda wako tu haujafika..alafu unatenda dhambi kutegemea utashikwa mkono au kudhan wote wanashikwa mkono.. Weka juhudi muombe Mungu..mambo yatanyooka tu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    Usiombe kusafiri safari ndefu na binti mrembo bila kuongea naye, utajuta

    Kwa hiyo hata pale singida gari lilipolala pale ulililala kwenye sit na yeye yupo pembeni au[emoji12]
Back
Top Bottom