Tukatae Tukubali kwa hali hii ya msisha kama huna wa kukushika mkono kutoka kimaisha ni ngumu

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Ndugu zangu wana JF ule msemo wa kuwa uyaoneee nimeshaanza kuulewaa kiukweli ndugu zangu katika haya maisha tulionayo nimezunguka sana katika kuyatafuta maisha ya mafanikio kupitia elimu,biashara,kazi na mambo mengine mengi ili nitoke kimaisha lakini nilichokuja kugundua maisha haya kama huna wa kukushika mkono kutoka kimaisha ni ngumu kinoma

sio siri ndugu zangu kama huna ndugu au mtu kwenye system wa kukushika mkono haya maisha kutoboa ni ngumu kwa sababu zifuatazooo..........

ukiangalia vijana waliofanikiwa katika biashara siku hizi ukifatilia historia yake unakuta mtaji alipewa na ndugu zake wenye uwezo, ukiangalia vijana wenye kazi nzuli ukifatilia historia yao unakuta issue ya kazi kasaidiwa na ndugu na jamaa wa karibu, ukiangalia vijana ambao wana vyeo vikubwa unakuta mpka kafika palee kupitia jina la mtu flani ndo kafika paleee......

sio siri inauma sana ila hakuna la kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli usiopingika kuwa binadamu hutegemeana katika kufanya maendeleo kwa kutumia rasli mali za aina mbalimbali. Lakini siku hizi na awamu hii unashauriwa kukomaa na hali yako bro, ndo maisha ya kileo. MUNGU akutie nguvu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu wana JF ule msemo wa kuwa uyaoneee nimeshaanza kuulewaa kiukweli ndugu zangu katika haya maisha tulionayo nimezunguka sana katika kuyatafuta maisha ya mafanikio kupitia elimu,biashara,kazi na mambo mengine mengi ili nitoke kimaisha lakini nilichokuja kugundua maisha haya kama huna wa kukushika mkono kutoka kimaisha ni ngumu kinoma

sio siri ndugu zangu kama huna ndugu au mtu kwenye system wa kukushika mkono haya maisha kutoboa ni ngumu kwa sababu zifuatazooo..........

ukiangalia vijana waliofanikiwa katika biashara siku hizi ukifatilia historia yake unakuta mtaji alipewa na ndugu zake wenye uwezo, ukiangalia vijana wenye kazi nzuli ukifatilia historia yao unakuta issue ya kazi kasaidiwa na ndugu na jamaa wa karibu, ukiangalia vijana ambao wana vyeo vikubwa unakuta mpka kafika palee kupitia jina la mtu flani ndo kafika paleee......

sio siri inauma sana ila hakuna la kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
You are correct 100%.Magufuli anajaribu kubadilisha hali hiyo,kama atafanikiwa sijui,mizizi imekwenda mbali sana.Ni ngumu sana frankly.Serikali mbili zilizopita,ya Mkapa na Kikwete zimetuangusha sana,wamelea sana hali hiyo.
 
Ndugu zangu wana JF ule msemo wa kuwa uyaoneee nimeshaanza kuulewaa kiukweli ndugu zangu katika haya maisha tulionayo nimezunguka sana katika kuyatafuta maisha ya mafanikio kupitia elimu,biashara,kazi na mambo mengine mengi ili nitoke kimaisha lakini nilichokuja kugundua maisha haya kama huna wa kukushika mkono kutoka kimaisha ni ngumu kinoma

sio siri ndugu zangu kama huna ndugu au mtu kwenye system wa kukushika mkono haya maisha kutoboa ni ngumu kwa sababu zifuatazooo..........

ukiangalia vijana waliofanikiwa katika biashara siku hizi ukifatilia historia yake unakuta mtaji alipewa na ndugu zake wenye uwezo, ukiangalia vijana wenye kazi nzuli ukifatilia historia yao unakuta issue ya kazi kasaidiwa na ndugu na jamaa wa karibu, ukiangalia vijana ambao wana vyeo vikubwa unakuta mpka kafika palee kupitia jina la mtu flani ndo kafika paleee......

sio siri inauma sana ila hakuna la kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikate tamaa..amin unachofanya vijana wengi wamefanikiwa bila kushikwa mkono. Muda wako tu haujafika..alafu unatenda dhambi kutegemea utashikwa mkono au kudhan wote wanashikwa mkono..
Weka juhudi muombe Mungu..mambo yatanyooka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are correct 100%.Magufuli anajaribu kubadilisha hali hiyo,kama atafanikiwa sijui,mizizi imekwenda mbali sana.Ni ngumu sana frankly.Serikali mbili zilizopita,ya Mkapa na Kikwete zimetuangusha sana,wamelea sana hali hiyo.
Mawelezo yako Sio ya kweli.

Nenda Pale Muhimbili utaona watoto wa maskini na wakulima walivyosomeshwa Ughaibuni Kipindi cha JK bila ubaguzi wa Kikabila ,kidini na rangi na Leo hii ni madktari bingwa wanaolisaidia Taifa . Miradi mingi Leo hii inasimamiwa na mainjinia wazawa waliopatikana awamu zilizopita bila ubaguzi.
Itafikia mahali chini ya ujamaa hata mikopo ya Chuo kuipata itakua ni kwa kujuana mana ndio msingi wa ujamaa hawawezi kumsomesha mtu asiyekua mwenzao.

Wakati wa awamu ya 2,3 na ya 4 Kuna Watu wengi waliibuka kibiashara kutokea Kijijini kama akina masanja Mkandamizaji na Akina Joti. Hawakua watoto wa wakubwa. Kuna vijana wengi ninaowafahamu waliopata kazi kutokana na Uwezo wao na sio kushikwa mkono.
Walioshikwa mikono pia wengi walikua ni watoto wa maskini sana wengine hata kusimamia hawakusoma kutokana na umaskini wao hivyo wakubwa wengi walikua wanawasaidia ili waweze kuendesha familia zao. Mara nyingine hata hawakua wanafahamiana.

Kuna watu walikua ni mahouse boy na mahousegirl walikua wanapata kazi za kufagia hata ofisi n.k sio kwa sababu ni ndugu la hasha Bali ilikua ni kiwasaidia mana watoto wao wana madigrii lakini hao maskini waliishia la saba tu. Walifanya hivyo kuwasidia ili wajitegemee bila kujali dini kabila,au itikadi za kisiasa.

Kazi za serikali chini ya mfumo huu unaotaka kurudi kwenye ujamaa ndio utakuwa mbaya zaidi mana kama hujulikani kwenye Chama na serikali ndio utapata tabu sana.
Fuatilia utajua hata wanaoteuliwa kila siku chini ya mifumo ya kijamaa ni watoto na wajukuu wa watawala waliowahi kutumikia Chama na serikali au kutumikia Chama au waliotumia nguvu kubwa kupiga kelele kupambana na upinzani tu lakini kujuana na urafiki na undugu ni nguzo kubwa kwenye mfumo kijamaa popote duniani mana ni nguzo ya kuficha maovu na kutunza siri.


Usitegemee usawa kwenye Mfumo ya kidola kwenye mfumo wa kijamaa hasa kwenye ajira za umma.
Na ujamaa unaua ajira binafsi na mashirika binafsi. Mfano Leo hii kama wewe sio Kada utategemea ajira kweli serikalini wakati watawala wanasema wazi hawataki mtu Nyutro.
Hiyo haki iko wapi inayorejeshwa ?

Wakati wa awamu ya 3 na 4 mpaka wazaramo na Wandengereko waliibuka kibiashara ,kwenye ajira na hata uongozi kwani Compitent yao ndiyo iliyokuwa jambo la msingi na sio ukada mana mashirika yanaangalia uwezo wa mtu wanayemuhitaji na sio siasa.
Hujui kua mtu akifungua Hoteli anachoangalia ni kumwajiri mtu atakayempa faida kibiashara lakini ikifunguliwa Hoteli ya Serikali ya kijamaa wanachoangalia wanasiasa na watawala ni usalama wao kimadaraka na ukada hivyo hawawezi kumwajiri mtu wasiyemjua. Nakufungua tu macho ndugu.

Mkuu wa awamu hii anamsimamo lakini asiturudishe kwenye Ujamaa.Asimamie Uwajibikaji lakini Chini ya Soko huria na Demokrasia isiyobagua watu kwa vyama vyao na makabila yao.

Unategemea ikitokea ajira ya Sekta fulani ya ndani ya dola unaweza kupata kama huna kadi ya kijani?

Kwa sasa hata ubunge na udiwani wanapewa kwa kujuana chini ya vyombo vya Dola na wakurugenzi.

Mfumo wa Kijamaa tangu enzi zilizopita za awamu ya kwanza ulifeli mana ulikuwa unaajiri kwa kujuana sana na ndio maana mpaka Leo kuna kitu kwenye form zote kwenye ajira mbalimbali watakuuliza: Mdhamini wako ni nani!
Dini yako
Kabila lako n.k.

Ni matokeo ya mfumo mbaya wa kijamaa tunaotaka kuurejesha kwa kasi na ajira zitatoweka na kubaki na ajira za kutumia maguvu na vitisho tena kwa kujuana ndio maana kuna ambao wakiharibu inachukua muda sana kuwawajibisha mana wanajuana na wasiojulikana wanatimuliwa fasta.

Usidanganyike sisi tumeona Awamu zote , utaifa ulikuwepo sana ndio maana kila ofisi mpaka jengo kuu palikua na watu wa makabila na dini zote.

Kwenye Ujamaa ndani ya jengo kubwa utafikia mahali wanabaki watu wa familia moja.
Mpaka mihimili mingine itafikia mahali itacheza wimbo mmoja chini ya jamii moja au marafiki kwenye ajira na siasa pia.

Unasema ajira lakini umesahua kuwa hao unaowalaumu waliweka misingi ya kupatikana kwa ajira kila mahali.
Kila mwaka waliajiri mana watu pia wanastaafu kila mwaka.

Leo hii waliotumbuliwa ni wengi na waliostaafu pia ni wengi lakini hakuna ajira kwa wataalam au wanataaluma zaidi ya ajira za wanasiasa kuteuana na kupena ulaji wenye mishahara minono.
Kila siku teuzi kwa kupeana mashavu lakini ajira za watu wa Chini wanaotafuta tu mlo mmoja kwa siku hakuna.

Sasa unazunguka na bahasha kwenye ajira ipi mana Leo hata hazionekani baada ya miaka mitatu sasa.
Sekta binafsi inapokufa ujue ajira zinapungua sana.
Zitabaki ajira za Kiserikali tu ambazo zimejikita kulinda utawala na watawala tu .
Wengine mkalime na mtapata mpaka bei nzuri lakini mtakula kwa jasho jingi wakati watawala watakua wanakula kwenye kiyoyozi.

Yatazame mambo kwa upana sio ushabiki.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawelezo yako Sio ya kweli.

Nenda Pale Muhimbili utaona watoto wa maskini na wakulima walivyosomeshwa Ughaibuni Kipindi cha JK bila ubaguzi wa Kikabila ,kidini na rangi na Leo hii ni madktari bingwa wanaolisaidia Taifa . Miradi mingi Leo hii inasimamiwa na mainjinia wazawa waliopatikana awamu zilizopita bila ubaguzi.
Itafikia mahali chini ya ujamaa hata mikopo ya Chuo kuipata itakua ni kwa kujuana mana ndio msingi wa ujamaa hawawezi kumsomesha mtu asiyekua mwenzao.

Wakati wa awamu ya 2,3 na ya 4 Kuna Watu wengi waliibuka kibiashara kutokea Kijijini kama akina masanja Mkandamizaji na Akina Joti. Hawakua watoto wa wakubwa. Kuna vijana wengi ninaowafahamu waliopata kazi kutokana na Uwezo wao na sio kushikwa mkono.
Walioshikwa mikono pia wengi walikua ni watoto wa maskini sana wengine hata kusimamia hawakusoma kutokana na umaskini wao hivyo wakubwa wengi walikua wanawasaidia ili waweze kuendesha familia zao. Mara nyingine hata hawakua wanafahamiana.

Kuna watu walikua ni mahouse boy na mahousegirl walikua wanapata kazi za kufagia hata ofisi n.k sio kwa sababu ni ndugu la hasha Bali ilikua ni kiwasaidia mana watoto wao wana madigrii lakini hao maskini waliishia la saba tu. Walifanya hivyo kuwasidia ili wajitegemee bila kujali dini kabila,au itikadi za kisiasa.

Kazi za serikali chini ya mfumo huu unaotaka kurudi kwenye ujamaa ndio utakuwa mbaya zaidi mana kama hujulikani kwenye Chama na serikali ndio utapata tabu sana.
Fuatilia utajua hata wanaoteuliwa kila siku chini ya mifumo ya kijamaa ni watoto na wajukuu wa watawala waliowahi kutumikia Chama na serikali au kutumikia Chama au waliotumia nguvu kubwa kupiga kelele kupambana na upinzani tu lakini kujuana na urafiki na undugu ni nguzo kubwa kwenye mfumo kijamaa popote duniani mana ni nguzo ya kuficha maovu na kutunza siri.


Usitegemee usawa kwenye Mfumo ya kidola kwenye mfumo wa kijamaa hasa kwenye ajira za umma.
Na ujamaa unaua ajira binafsi na mashirika binafsi. Mfano Leo hii kama wewe sio Kada utategemea ajira kweli serikalini wakati watawala wanasema wazi hawataki mtu Nyutro.
Hiyo haki iko wapi inayorejeshwa ?

Wakati wa awamu ya 3 na 4 mpaka wazaramo na Wandengereko waliibuka kibiashara ,kwenye ajira na hata uongozi kwani Compitent yao ndiyo iliyokuwa jambo la msingi na sio ukada mana mashirika yanaangalia uwezo wa mtu wanayemuhitaji na sio siasa.
Hujui kua mtu akifungua Hoteli anachoangalia ni kumwajiri mtu atakayempa faida kibiashara lakini ikifunguliwa Hoteli ya Serikali ya kijamaa wanachoangalia wanasiasa na watawala ni usalama wao kimadaraka na ukada hivyo hawawezi kumwajiri mtu wasiyemjua. Nakufungua tu macho ndugu.

Mkuu wa awamu hii anamsimamo lakini asiturudishe kwenye Ujamaa.Asimamie Uwajibikaji lakini Chini ya Soko huria na Demokrasia isiyobagua watu kwa vyama vyao na makabila yao.

Unategemea ikitokea ajira ya Sekta fulani ya ndani ya dola unaweza kupata kama huna kadi ya kijani?

Kwa sasa hata ubunge na udiwani wanapewa kwa kujuana chini ya vyombo vya Dola na wakurugenzi.

Mfumo wa Kijamaa tangu enzi zilizopita za awamu ya kwanza ulifeli mana ulikuwa unaajiri kwa kujuana sana na ndio maana mpaka Leo kuna kitu kwenye form zote kwenye ajira mbalimbali watakuuliza: Mdhamini wako ni nani!
Dini yako
Kabila lako n.k.

Ni matokeo ya mfumo mbaya wa kijamaa tunaotaka kuurejesha kwa kasi na ajira zitatoweka na kubaki na ajira za kutumia maguvu na vitisho tena kwa kujuana ndio maana kuna ambao wakiharibu inachukua muda sana kuwawajibisha mana wanajuana na wasiojulikana wanatimuliwa fasta.

Usidanganyike sisi tumeona Awamu zote , utaifa ulikuwepo sana ndio maana kila ofisi mpaka jengo kuu palikua na watu wa makabila na dini zote.

Kwenye Ujamaa ndani ya jengo kubwa utafikia mahali wanabaki watu wa familia moja.
Mpaka mihimili mingine itafikia mahali itacheza wimbo mmoja chini ya jamii moja au marafiki kwenye ajira na siasa pia.

Unasema ajira lakini umesahua kuwa hao unaowalaumu waliweka misingi ya kupatikana kwa ajira kila mahali.
Kila mwaka waliajiri mana watu pia wanastaafu kila mwaka.

Leo hii waliotumbuliwa ni wengi na waliostaafu pia ni wengi lakini hakuna ajira kwa wataalam au wanataaluma zaidi ya ajira za wanasiasa kuteuana na kupena ulaji wenye mishahara minono.
Kila siku teuzi kwa kupeana mashavu lakini ajira za watu wa Chini wanaotafuta tu mlo mmoja kwa siku hakuna.

Sasa unazunguka na bahasha kwenye ajira ipi mana Leo hata hazionekani baada ya miaka mitatu sasa.
Sekta binafsi inapokufa ujue ajira zinapungua sana.
Zitabaki ajira za Kiserikali tu ambazo zimejikita kulinda utawala na watawala tu .
Wengine mkalime na mtapata mpaka bei nzuri lakini mtakula kwa jasho jingi wakati watawala watakua wanakula kwenye kiyoyozi.

Yatazame mambo kwa upana sio ushabiki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ugoro ugoro, ujinga ujinga tu.
 
mkuu nimesoma maelezo ya kwa kina bado najikuta natafakari
Mawelezo yako Sio ya kweli.

Nenda Pale Muhimbili utaona watoto wa maskini na wakulima walivyosomeshwa Ughaibuni Kipindi cha JK bila ubaguzi wa Kikabila ,kidini na rangi na Leo hii ni madktari bingwa wanaolisaidia Taifa . Miradi mingi Leo hii inasimamiwa na mainjinia wazawa waliopatikana awamu zilizopita bila ubaguzi.
Itafikia mahali chini ya ujamaa hata mikopo ya Chuo kuipata itakua ni kwa kujuana mana ndio msingi wa ujamaa hawawezi kumsomesha mtu asiyekua mwenzao.

Wakati wa awamu ya 2,3 na ya 4 Kuna Watu wengi waliibuka kibiashara kutokea Kijijini kama akina masanja Mkandamizaji na Akina Joti. Hawakua watoto wa wakubwa. Kuna vijana wengi ninaowafahamu waliopata kazi kutokana na Uwezo wao na sio kushikwa mkono.
Walioshikwa mikono pia wengi walikua ni watoto wa maskini sana wengine hata kusimamia hawakusoma kutokana na umaskini wao hivyo wakubwa wengi walikua wanawasaidia ili waweze kuendesha familia zao. Mara nyingine hata hawakua wanafahamiana.

Kuna watu walikua ni mahouse boy na mahousegirl walikua wanapata kazi za kufagia hata ofisi n.k sio kwa sababu ni ndugu la hasha Bali ilikua ni kiwasaidia mana watoto wao wana madigrii lakini hao maskini waliishia la saba tu. Walifanya hivyo kuwasidia ili wajitegemee bila kujali dini kabila,au itikadi za kisiasa.

Kazi za serikali chini ya mfumo huu unaotaka kurudi kwenye ujamaa ndio utakuwa mbaya zaidi mana kama hujulikani kwenye Chama na serikali ndio utapata tabu sana.
Fuatilia utajua hata wanaoteuliwa kila siku chini ya mifumo ya kijamaa ni watoto na wajukuu wa watawala waliowahi kutumikia Chama na serikali au kutumikia Chama au waliotumia nguvu kubwa kupiga kelele kupambana na upinzani tu lakini kujuana na urafiki na undugu ni nguzo kubwa kwenye mfumo kijamaa popote duniani mana ni nguzo ya kuficha maovu na kutunza siri.


Usitegemee usawa kwenye Mfumo ya kidola kwenye mfumo wa kijamaa hasa kwenye ajira za umma.
Na ujamaa unaua ajira binafsi na mashirika binafsi. Mfano Leo hii kama wewe sio Kada utategemea ajira kweli serikalini wakati watawala wanasema wazi hawataki mtu Nyutro.
Hiyo haki iko wapi inayorejeshwa ?

Wakati wa awamu ya 3 na 4 mpaka wazaramo na Wandengereko waliibuka kibiashara ,kwenye ajira na hata uongozi kwani Compitent yao ndiyo iliyokuwa jambo la msingi na sio ukada mana mashirika yanaangalia uwezo wa mtu wanayemuhitaji na sio siasa.
Hujui kua mtu akifungua Hoteli anachoangalia ni kumwajiri mtu atakayempa faida kibiashara lakini ikifunguliwa Hoteli ya Serikali ya kijamaa wanachoangalia wanasiasa na watawala ni usalama wao kimadaraka na ukada hivyo hawawezi kumwajiri mtu wasiyemjua. Nakufungua tu macho ndugu.

Mkuu wa awamu hii anamsimamo lakini asiturudishe kwenye Ujamaa.Asimamie Uwajibikaji lakini Chini ya Soko huria na Demokrasia isiyobagua watu kwa vyama vyao na makabila yao.

Unategemea ikitokea ajira ya Sekta fulani ya ndani ya dola unaweza kupata kama huna kadi ya kijani?

Kwa sasa hata ubunge na udiwani wanapewa kwa kujuana chini ya vyombo vya Dola na wakurugenzi.

Mfumo wa Kijamaa tangu enzi zilizopita za awamu ya kwanza ulifeli mana ulikuwa unaajiri kwa kujuana sana na ndio maana mpaka Leo kuna kitu kwenye form zote kwenye ajira mbalimbali watakuuliza: Mdhamini wako ni nani!
Dini yako
Kabila lako n.k.

Ni matokeo ya mfumo mbaya wa kijamaa tunaotaka kuurejesha kwa kasi na ajira zitatoweka na kubaki na ajira za kutumia maguvu na vitisho tena kwa kujuana ndio maana kuna ambao wakiharibu inachukua muda sana kuwawajibisha mana wanajuana na wasiojulikana wanatimuliwa fasta.

Usidanganyike sisi tumeona Awamu zote , utaifa ulikuwepo sana ndio maana kila ofisi mpaka jengo kuu palikua na watu wa makabila na dini zote.

Kwenye Ujamaa ndani ya jengo kubwa utafikia mahali wanabaki watu wa familia moja.
Mpaka mihimili mingine itafikia mahali itacheza wimbo mmoja chini ya jamii moja au marafiki kwenye ajira na siasa pia.

Unasema ajira lakini umesahua kuwa hao unaowalaumu waliweka misingi ya kupatikana kwa ajira kila mahali.
Kila mwaka waliajiri mana watu pia wanastaafu kila mwaka.

Leo hii waliotumbuliwa ni wengi na waliostaafu pia ni wengi lakini hakuna ajira kwa wataalam au wanataaluma zaidi ya ajira za wanasiasa kuteuana na kupena ulaji wenye mishahara minono.
Kila siku teuzi kwa kupeana mashavu lakini ajira za watu wa Chini wanaotafuta tu mlo mmoja kwa siku hakuna.

Sasa unazunguka na bahasha kwenye ajira ipi mana Leo hata hazionekani baada ya miaka mitatu sasa.
Sekta binafsi inapokufa ujue ajira zinapungua sana.
Zitabaki ajira za Kiserikali tu ambazo zimejikita kulinda utawala na watawala tu .
Wengine mkalime na mtapata mpaka bei nzuri lakini mtakula kwa jasho jingi wakati watawala watakua wanakula kwenye kiyoyozi.

Yatazame mambo kwa upana sio ushabiki.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu wana JF ule msemo wa kuwa uyaoneee nimeshaanza kuulewaa kiukweli ndugu zangu katika haya maisha tulionayo nimezunguka sana katika kuyatafuta maisha ya mafanikio kupitia elimu,biashara,kazi na mambo mengine mengi ili nitoke kimaisha lakini nilichokuja kugundua maisha haya kama huna wa kukushika mkono kutoka kimaisha ni ngumu kinoma

sio siri ndugu zangu kama huna ndugu au mtu kwenye system wa kukushika mkono haya maisha kutoboa ni ngumu kwa sababu zifuatazooo..........

ukiangalia vijana waliofanikiwa katika biashara siku hizi ukifatilia historia yake unakuta mtaji alipewa na ndugu zake wenye uwezo, ukiangalia vijana wenye kazi nzuli ukifatilia historia yao unakuta issue ya kazi kasaidiwa na ndugu na jamaa wa karibu, ukiangalia vijana ambao wana vyeo vikubwa unakuta mpka kafika palee kupitia jina la mtu flani ndo kafika paleee......

sio siri inauma sana ila hakuna la kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kupanda basi inabidi uanze kupiga hatua za kwenda stendi. Kumbuka hilo.
 
You are correct 100%.Magufuli anajaribu kubadilisha hali hiyo,kama atafanikiwa sijui,mizizi imekwenda mbali sana.Ni ngumu sana frankly.Serikali mbili zilizopita,ya Mkapa na Kikwete zimetuangusha sana,wamelea sana hali hiyo.
Unaleta siasa kwa fact za kim.avi kabisa.. maisha yenye unafuu yalikua awamu ya nne japo waliokuwa na connection serikali ndiyo walinufaika zaidi.
Huyu jini mkata kamba ndo hapendi huwe tajiri shwaini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawelezo yako Sio ya kweli.

Nenda Pale Muhimbili utaona watoto wa maskini na wakulima walivyosomeshwa Ughaibuni Kipindi cha JK bila ubaguzi wa Kikabila ,kidini na rangi na Leo hii ni madktari bingwa wanaolisaidia Taifa . Miradi mingi Leo hii inasimamiwa na mainjinia wazawa waliopatikana awamu zilizopita bila ubaguzi.
Itafikia mahali chini ya ujamaa hata mikopo ya Chuo kuipata itakua ni kwa kujuana mana ndio msingi wa ujamaa hawawezi kumsomesha mtu asiyekua mwenzao.

Wakati wa awamu ya 2,3 na ya 4 Kuna Watu wengi waliibuka kibiashara kutokea Kijijini kama akina masanja Mkandamizaji na Akina Joti. Hawakua watoto wa wakubwa. Kuna vijana wengi ninaowafahamu waliopata kazi kutokana na Uwezo wao na sio kushikwa mkono.
Walioshikwa mikono pia wengi walikua ni watoto wa maskini sana wengine hata kusimamia hawakusoma kutokana na umaskini wao hivyo wakubwa wengi walikua wanawasaidia ili waweze kuendesha familia zao. Mara nyingine hata hawakua wanafahamiana.

Kuna watu walikua ni mahouse boy na mahousegirl walikua wanapata kazi za kufagia hata ofisi n.k sio kwa sababu ni ndugu la hasha Bali ilikua ni kiwasaidia mana watoto wao wana madigrii lakini hao maskini waliishia la saba tu. Walifanya hivyo kuwasidia ili wajitegemee bila kujali dini kabila,au itikadi za kisiasa.

Kazi za serikali chini ya mfumo huu unaotaka kurudi kwenye ujamaa ndio utakuwa mbaya zaidi mana kama hujulikani kwenye Chama na serikali ndio utapata tabu sana.
Fuatilia utajua hata wanaoteuliwa kila siku chini ya mifumo ya kijamaa ni watoto na wajukuu wa watawala waliowahi kutumikia Chama na serikali au kutumikia Chama au waliotumia nguvu kubwa kupiga kelele kupambana na upinzani tu lakini kujuana na urafiki na undugu ni nguzo kubwa kwenye mfumo kijamaa popote duniani mana ni nguzo ya kuficha maovu na kutunza siri.


Usitegemee usawa kwenye Mfumo ya kidola kwenye mfumo wa kijamaa hasa kwenye ajira za umma.
Na ujamaa unaua ajira binafsi na mashirika binafsi. Mfano Leo hii kama wewe sio Kada utategemea ajira kweli serikalini wakati watawala wanasema wazi hawataki mtu Nyutro.
Hiyo haki iko wapi inayorejeshwa ?

Wakati wa awamu ya 3 na 4 mpaka wazaramo na Wandengereko waliibuka kibiashara ,kwenye ajira na hata uongozi kwani Compitent yao ndiyo iliyokuwa jambo la msingi na sio ukada mana mashirika yanaangalia uwezo wa mtu wanayemuhitaji na sio siasa.
Hujui kua mtu akifungua Hoteli anachoangalia ni kumwajiri mtu atakayempa faida kibiashara lakini ikifunguliwa Hoteli ya Serikali ya kijamaa wanachoangalia wanasiasa na watawala ni usalama wao kimadaraka na ukada hivyo hawawezi kumwajiri mtu wasiyemjua. Nakufungua tu macho ndugu.

Mkuu wa awamu hii anamsimamo lakini asiturudishe kwenye Ujamaa.Asimamie Uwajibikaji lakini Chini ya Soko huria na Demokrasia isiyobagua watu kwa vyama vyao na makabila yao.

Unategemea ikitokea ajira ya Sekta fulani ya ndani ya dola unaweza kupata kama huna kadi ya kijani?

Kwa sasa hata ubunge na udiwani wanapewa kwa kujuana chini ya vyombo vya Dola na wakurugenzi.

Mfumo wa Kijamaa tangu enzi zilizopita za awamu ya kwanza ulifeli mana ulikuwa unaajiri kwa kujuana sana na ndio maana mpaka Leo kuna kitu kwenye form zote kwenye ajira mbalimbali watakuuliza: Mdhamini wako ni nani!
Dini yako
Kabila lako n.k.

Ni matokeo ya mfumo mbaya wa kijamaa tunaotaka kuurejesha kwa kasi na ajira zitatoweka na kubaki na ajira za kutumia maguvu na vitisho tena kwa kujuana ndio maana kuna ambao wakiharibu inachukua muda sana kuwawajibisha mana wanajuana na wasiojulikana wanatimuliwa fasta.

Usidanganyike sisi tumeona Awamu zote , utaifa ulikuwepo sana ndio maana kila ofisi mpaka jengo kuu palikua na watu wa makabila na dini zote.

Kwenye Ujamaa ndani ya jengo kubwa utafikia mahali wanabaki watu wa familia moja.
Mpaka mihimili mingine itafikia mahali itacheza wimbo mmoja chini ya jamii moja au marafiki kwenye ajira na siasa pia.

Unasema ajira lakini umesahua kuwa hao unaowalaumu waliweka misingi ya kupatikana kwa ajira kila mahali.
Kila mwaka waliajiri mana watu pia wanastaafu kila mwaka.

Leo hii waliotumbuliwa ni wengi na waliostaafu pia ni wengi lakini hakuna ajira kwa wataalam au wanataaluma zaidi ya ajira za wanasiasa kuteuana na kupena ulaji wenye mishahara minono.
Kila siku teuzi kwa kupeana mashavu lakini ajira za watu wa Chini wanaotafuta tu mlo mmoja kwa siku hakuna.

Sasa unazunguka na bahasha kwenye ajira ipi mana Leo hata hazionekani baada ya miaka mitatu sasa.
Sekta binafsi inapokufa ujue ajira zinapungua sana.
Zitabaki ajira za Kiserikali tu ambazo zimejikita kulinda utawala na watawala tu .
Wengine mkalime na mtapata mpaka bei nzuri lakini mtakula kwa jasho jingi wakati watawala watakua wanakula kwenye kiyoyozi.

Yatazame mambo kwa upana sio ushabiki.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeandika maelezo mazuri kwa faida ya wachache tunaolewa nini kinaendelea ..ila usitegemee kumuelewesha huyu zuzu wa kijani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu/connections zinatafutwa na kutengenezwa,sio lazima uzaliwe nazo
Msingi wa mafanikio ni vitu vinne

-Nini unajua
-Nani unamjua
-Nani anakujua
-Fursa

Sasa basi usitengeneze sababu na visingizio vya kwanini hutoboi,hakuna mafanikio bila changamoto.Kama changamoto yako ni kutokuwa na connection/network basi fanya bidii kutengeneza chanel na network yenye maslahi na wewe,jichanganye na wenye mafanikio,socialise,tengeneza marafiki wapya wenye manufaa.itatumia muda kidogo lakini its worth it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawelezo yako Sio ya kweli.

Nenda Pale Muhimbili utaona watoto wa maskini na wakulima walivyosomeshwa Ughaibuni Kipindi cha JK bila ubaguzi wa Kikabila ,kidini na rangi na Leo hii ni madktari bingwa wanaolisaidia Taifa . Miradi mingi Leo hii inasimamiwa na mainjinia wazawa waliopatikana awamu zilizopita bila ubaguzi.
Itafikia mahali chini ya ujamaa hata mikopo ya Chuo kuipata itakua ni kwa kujuana mana ndio msingi wa ujamaa hawawezi kumsomesha mtu asiyekua mwenzao.

Wakati wa awamu ya 2,3 na ya 4 Kuna Watu wengi waliibuka kibiashara kutokea Kijijini kama akina masanja Mkandamizaji na Akina Joti. Hawakua watoto wa wakubwa. Kuna vijana wengi ninaowafahamu waliopata kazi kutokana na Uwezo wao na sio kushikwa mkono.
Walioshikwa mikono pia wengi walikua ni watoto wa maskini sana wengine hata kusimamia hawakusoma kutokana na umaskini wao hivyo wakubwa wengi walikua wanawasaidia ili waweze kuendesha familia zao. Mara nyingine hata hawakua wanafahamiana.

Kuna watu walikua ni mahouse boy na mahousegirl walikua wanapata kazi za kufagia hata ofisi n.k sio kwa sababu ni ndugu la hasha Bali ilikua ni kiwasaidia mana watoto wao wana madigrii lakini hao maskini waliishia la saba tu. Walifanya hivyo kuwasidia ili wajitegemee bila kujali dini kabila,au itikadi za kisiasa.

Kazi za serikali chini ya mfumo huu unaotaka kurudi kwenye ujamaa ndio utakuwa mbaya zaidi mana kama hujulikani kwenye Chama na serikali ndio utapata tabu sana.
Fuatilia utajua hata wanaoteuliwa kila siku chini ya mifumo ya kijamaa ni watoto na wajukuu wa watawala waliowahi kutumikia Chama na serikali au kutumikia Chama au waliotumia nguvu kubwa kupiga kelele kupambana na upinzani tu lakini kujuana na urafiki na undugu ni nguzo kubwa kwenye mfumo kijamaa popote duniani mana ni nguzo ya kuficha maovu na kutunza siri.


Usitegemee usawa kwenye Mfumo ya kidola kwenye mfumo wa kijamaa hasa kwenye ajira za umma.
Na ujamaa unaua ajira binafsi na mashirika binafsi. Mfano Leo hii kama wewe sio Kada utategemea ajira kweli serikalini wakati watawala wanasema wazi hawataki mtu Nyutro.
Hiyo haki iko wapi inayorejeshwa ?

Wakati wa awamu ya 3 na 4 mpaka wazaramo na Wandengereko waliibuka kibiashara ,kwenye ajira na hata uongozi kwani Compitent yao ndiyo iliyokuwa jambo la msingi na sio ukada mana mashirika yanaangalia uwezo wa mtu wanayemuhitaji na sio siasa.
Hujui kua mtu akifungua Hoteli anachoangalia ni kumwajiri mtu atakayempa faida kibiashara lakini ikifunguliwa Hoteli ya Serikali ya kijamaa wanachoangalia wanasiasa na watawala ni usalama wao kimadaraka na ukada hivyo hawawezi kumwajiri mtu wasiyemjua. Nakufungua tu macho ndugu.

Mkuu wa awamu hii anamsimamo lakini asiturudishe kwenye Ujamaa.Asimamie Uwajibikaji lakini Chini ya Soko huria na Demokrasia isiyobagua watu kwa vyama vyao na makabila yao.

Unategemea ikitokea ajira ya Sekta fulani ya ndani ya dola unaweza kupata kama huna kadi ya kijani?

Kwa sasa hata ubunge na udiwani wanapewa kwa kujuana chini ya vyombo vya Dola na wakurugenzi.

Mfumo wa Kijamaa tangu enzi zilizopita za awamu ya kwanza ulifeli mana ulikuwa unaajiri kwa kujuana sana na ndio maana mpaka Leo kuna kitu kwenye form zote kwenye ajira mbalimbali watakuuliza: Mdhamini wako ni nani!
Dini yako
Kabila lako n.k.

Ni matokeo ya mfumo mbaya wa kijamaa tunaotaka kuurejesha kwa kasi na ajira zitatoweka na kubaki na ajira za kutumia maguvu na vitisho tena kwa kujuana ndio maana kuna ambao wakiharibu inachukua muda sana kuwawajibisha mana wanajuana na wasiojulikana wanatimuliwa fasta.

Usidanganyike sisi tumeona Awamu zote , utaifa ulikuwepo sana ndio maana kila ofisi mpaka jengo kuu palikua na watu wa makabila na dini zote.

Kwenye Ujamaa ndani ya jengo kubwa utafikia mahali wanabaki watu wa familia moja.
Mpaka mihimili mingine itafikia mahali itacheza wimbo mmoja chini ya jamii moja au marafiki kwenye ajira na siasa pia.

Unasema ajira lakini umesahua kuwa hao unaowalaumu waliweka misingi ya kupatikana kwa ajira kila mahali.
Kila mwaka waliajiri mana watu pia wanastaafu kila mwaka.

Leo hii waliotumbuliwa ni wengi na waliostaafu pia ni wengi lakini hakuna ajira kwa wataalam au wanataaluma zaidi ya ajira za wanasiasa kuteuana na kupena ulaji wenye mishahara minono.
Kila siku teuzi kwa kupeana mashavu lakini ajira za watu wa Chini wanaotafuta tu mlo mmoja kwa siku hakuna.

Sasa unazunguka na bahasha kwenye ajira ipi mana Leo hata hazionekani baada ya miaka mitatu sasa.
Sekta binafsi inapokufa ujue ajira zinapungua sana.
Zitabaki ajira za Kiserikali tu ambazo zimejikita kulinda utawala na watawala tu .
Wengine mkalime na mtapata mpaka bei nzuri lakini mtakula kwa jasho jingi wakati watawala watakua wanakula kwenye kiyoyozi.

Yatazame mambo kwa upana sio ushabiki.



Sent using Jamii Forums mobile app
JK?Sitakagi hata kumsikia.Waziri wake wa Mambo ya Nje Membe aliwahi kukiri kwamba walikuwa wanagongana angani!
 
Back
Top Bottom