Recent content by Notmiz

  1. Notmiz

    Tatizo la kutokwa na majimaji ukeni ni ugonjwa gani?

    Siwashwi wala nini ila now yameacha ...nmeambiwa n vaginosis n cz ya kustay virgin for a long time yaan n ya kawaida hayaniaffect kitu n fluids ...ila zmekauka now n uchaf wa kaeaida
  2. Notmiz

    Nisaidien tafadhali

    Doctors nawazoef nisaidien plz.... Majuz kati hapo nlitoka kubanjuliwa huko sasa ila tulitumia kinga...na noted cjawai sex before yaan kutiwa kabsa ndo ilikua Mara kwanza....sasa ndugu cjaakaa siku mbili tatu fluids au majimaji yanatoka halaf yana unjano flan hv siku ya tatu Leo...hyawashi...
  3. Notmiz

    Tatizo la kutokwa na majimaji ukeni ni ugonjwa gani?

    Doctors na wazoefu nisaidieni please. Majuz kati hapo nlitoka kufanya ngono huko sasa ila tulitumia kinga, na noted cjawai kusex before kabisa ndiyo ilikua mara kwanza. Sasa ndugu cjaakaa siku mbili tatu fluids au majimaji yanatoka halafu yana unjano flank hivi. Siku ya tatu eo; hayawashi...
  4. Notmiz

    Sitamsahau huyu dada

    😂😂😂😂😂😂 jamanii
  5. Notmiz

    Mtihani wa kidato cha nne kuanza kesho tarehe 05 hadi tarehe 23

    Daaah nakumbuka ....cku kama ya kesho nikifanya math ilinibaka sio sirii na physics math shikamooo😂😂😂😂😂😂😂
  6. Notmiz

    Udom college of informatics na changamoto ya vyoo vichafu

    Well ,kama first year katka department yenu...kusanyken.. Waiten viongoz wenu ...muwape changamoto znazowakabli.....kama vp changed hela ili miundo mbinu ya college yenu ikarabatiwe.....ss inakuja kulia huku unamaana ganj mkuuu sisi tutasoma tunaacha .....shda ikopalepale....cha...
  7. Notmiz

    SUA THE BEST EVER

    hivi kama umepata chuo hapo SUA tena fourth batch. ....vp unatakiwa uripoti lini? Kama kuna maelezo mwngne npe
  8. Notmiz

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    Hello everybody!! Nlikua nataka kujua hii course inayopatikana SUA ya Bac Human Nutrition inadeal na nn?? Na Je ipo marketable???
  9. Notmiz

    HESLB yatoa mkopo awamu ya pili kwa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza 2018/19

    Bodi ya mikopo ya wanafunzi ya elimu ya juu HESBL imetoa majina ya walionufaika na mkopo kwa awamu ya pili 2018/2019 Nina swali Je kuna awamu ya tatu? Na hii inakuaje? Tembeleeni tovuti za HESBL na akaunti zenu goodluck!!
Back
Top Bottom