Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,092
- 2,923
Habari wapendwa wa jukwaa hili pendwa LA elimu ikiwa ndo wiki ya kwanza kabisa baada ya kukaa mtaani muda mrefu sasa hatimae sasa vyuo vimefunguliwa nikiwa ndo first year ambaye Niko college ya udom informatics naingia chooni nakuta vyoo viko full balaa mpaka juu sasa nikajiuliza kweli majengo yote haya mazuri alafu vyoo ndo hivi...hakika nyumba ni choo.