Notmiz
Member
- Dec 15, 2017
- 54
- 20
Doctors na wazoefu nisaidieni please.
Majuz kati hapo nlitoka kufanya ngono huko sasa ila tulitumia kinga, na noted cjawai kusex before kabisa ndiyo ilikua mara kwanza. Sasa ndugu cjaakaa siku mbili tatu fluids au majimaji yanatoka halafu yana unjano flank hivi. Siku ya tatu eo; hayawashi wala nini, tatzo ni nini? Nisaidien nashindwa kuwa comfortable😔😔
Majuz kati hapo nlitoka kufanya ngono huko sasa ila tulitumia kinga, na noted cjawai kusex before kabisa ndiyo ilikua mara kwanza. Sasa ndugu cjaakaa siku mbili tatu fluids au majimaji yanatoka halafu yana unjano flank hivi. Siku ya tatu eo; hayawashi wala nini, tatzo ni nini? Nisaidien nashindwa kuwa comfortable😔😔