asee pole chuo umepata?Write your reply...Mimi Basi Nawaomba Bodi Iniludishie Ata Elfu 15 Ya Ile Elfu 30 Nlizowalipa Kuanza Fanya Maombi Njalibu Uza Matikiti Msimu Wa Kiangazi Huu UWenda Mungu Akanionea Uko Uku Sitakiwi
Hatari sana yaani saa hizi batch ya 3 imetoka kwa chuo cha SUA tiyari hapo ndo ujue labda majina ya waliopata awamu ya 3 yanapelekwa chuoni moja kwa moja kwa hiyo kila mtu ni kuchungulia website ya chuo alichochaguliwa kuona updates zozote!Asilimia zaidi ya 90 ya wanafunzi walioomba mikopo wapo katika sintofahamu juu ya hatma yao ya elimu.ukizingatia vyuo vimeshafunguliwa,
Kama kuna taarifa yoyote rasmi toka bodi tujuzane wadau. Maana hali si nzuri
Hiki unachokisema binafc sikiamini tusibitishieHatari sana yaani saa hizi batch ya 3 imetoka kwa chuo cha SUA tiyari hapo ndo ujue labda majina ya waliopata awamu ya 3 yanapelekwa chuoni moja kwa moja kwa hiyo kila mtu ni kuchungulia website ya chuo alichochaguliwa kuona updates zozote!
Sijui kwa nini hawaweki kwenye website yao!!!
Hujaelewa boss... Zile batch za SUA ni tofauti na batch za HESLB yale majina ni yale yale ya mwanzo... Kutoka heslbHatari sana yaani saa hizi batch ya 3 imetoka kwa chuo cha SUA tiyari hapo ndo ujue labda majina ya waliopata awamu ya 3 yanapelekwa chuoni moja kwa moja kwa hiyo kila mtu ni kuchungulia website ya chuo alichochaguliwa kuona updates zozote!
Sijui kwa nini hawaweki kwenye website yao!!!
tatizo wametofautisha wale wa batch 3 na batch 1 sasa hapo inakuaje mkuuHujaelewa boss... Zile batch za SUA ni tofauti na batch za HESLB yale majina ni yale yale ya mwanzo... Kutoka heslb
hiyo sehemu ya batch imetofautosha kuna 3 na batch 1Hiki unachokisema binafc sikiamini tusibitishie
Ok kwa hyo tusitegemee kuona bodi ikitangaza awamu ya 3 publicity wameamua kupeleka majina ya batch ya 3 kimya kimya chuoni au inakuwaje?hiyo sehemu ya batch imetofautosha kuna 3 na batch 1
ndio Nimepataasee pole chuo umepata?
ndo hapo sijaelewa na mimi inakuaje SUA washapata batch 3 ina maana bodi ishayatuma vyuoni hayo majina ya roun ya 3!Ok kwa hyo tusitegemee kuona bodi ikitangaza awamu ya 3 publicity wameamua kupeleka majina ya batch ya 3 kimya kimya chuoni au inakuwaje?
Sasa mwanafunzi ambae hajafika chuo atajuaje kama kapata mkopo au kuangalia kwenye account zetu?ndo hapo sijaelewa na mimi inakuaje SUA washapata batch 3 ina maana bodi ishayatuma vyuoni hayo majina ya roun ya 3!
kama ni kweli najiuliza kwa nini wasiyaweke publicity wanachoogopa ni nini!
ndo hapo sijaelewa na mimi inakuaje SUA washapata batch 3 ina maana bodi ishayatuma vyuoni hayo majina ya roun ya 3!
kama ni kweli najiuliza kwa nini wasiyaweke publicity wanachoogopa ni nini!
pitia web ya SUA utaona hiyo list angalia wameainisha batch 3 na batch 1mhhhhhhhhhhh mbona vyuo awamu ya 3 bado hawajatoa sasa itakuwaje sua wapate?
Mkopo awamu ya tatu ushatoka idadi ya wanafunzi 4060, wamenufaika,, kikao cha kuyaidhinisha majina hayo ndo kinafanyika sasahivi,, baada ya muda mchache majina yatapandisha mtandaoni,, ila batch ya tatu isha tumwa vyuoniAsilimia zaidi ya 90 ya wanafunzi walioomba mikopo wapo katika sintofahamu juu ya hatma yao ya elimu.ukizingatia vyuo vimeshafunguliwa,
Kama kuna taarifa yoyote rasmi toka bodi tujuzane wadau. Maana hali si nzuri
Mkopo awamu ya tatu ushatoka idadi ya wanafunzi 4060, wamenufaika,, kikao cha kuyaidhinisha majina hayo ndo kinafanyika sasahivi,, baada ya muda mchache majina yatapandisha mtandaoni,, ila batch ya tatu isha tumwa vyuoniAsilimia zaidi ya 90 ya wanafunzi walioomba mikopo wapo katika sintofahamu juu ya hatma yao ya elimu.ukizingatia vyuo vimeshafunguliwa,
Kama kuna taarifa yoyote rasmi toka bodi tujuzane wadau. Maana hali si nzuri
mbna wanatoa kidogo kidogo sana??Mkopo awamu ya tatu ushatoka idadi ya wanafunzi 4060, wamenufaika,, kikao cha kuyaidhinisha majina hayo ndo kinafanyika sasahivi,, baada ya muda mchache majina yatapandisha mtandaoni,, ila batch ya tatu isha tumwa vyuoni