Recent content by NOTE

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Itafika nyakati kila atakae vaa nguo yoyote ya KAKI nae atafunguliwa mashitaka!! Amakweli kuongoza ni kipaji na wote wasio na kipawa hicho huishia kufanya mambo kama haya..!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM Kilosa ala Kichapo hadi kulazwa na adai ni wafuasi wa CHADEMA

    Siku hizi kila jambo ni la CHADEMA,maana hata bomoabomoa vibanda jijini Dar nalo watasema CDM,haahaahaahaa!! Sio ajabu mtu akipigwa na mkeo kwa ulevi nae atasema mkeo ni CDM,kwikwikwiii!!!
  3. N

    JamiiForums Tanzania Walimu muwe macho na siasa majitaka za CHADEMA, hakuna waraka ni uzushi tu

    Utakufa wewe na chama chako!!
  4. N

    JamiiForums Tanzania Walimu muwe macho na siasa majitaka za CHADEMA, hakuna waraka ni uzushi tu

    Inaonekana umetumwa kuja kuwa bembeleza walimu,haahaahaa!! Too late aisee,maana hawa jamaa walisha hasi ccm mpaka serikali,wamebaki wale wenye vyeti vya kubumba tu ambao wanategemea huruma ya ccm,rudisha report kwa hao waliokutuma kwamba huku hali ni mbaya zaidi na at last umeambulia matusi na...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Walimu muwe macho na siasa majitaka za CHADEMA, hakuna waraka ni uzushi tu

    Vipi umetawaza mara baada ya kunyaa???? Haya nawa mikono yako vizuri kwa sabuni,IDIOT MKUBWA WEWE!!
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kati ya hawa waliotajwa, Nani karusha bomu?! Mtambue

    NAZANI UMEVURUGWA WEWE!! Hiyo shibe unayopata kupitia ccm ipo siku itatoweka na ndipo utakapo jua kwamba ujinga unao utetea hauna mana! Shame on you imbecile!!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Leo nimekutana na wazo la ajabu sikuamini

    Duuu!! Umenikumbusha kitu hapa,maana kuna siku afisa wa jeshi(jwtz) alishawahi tamka maneno mazito sikutegemea,haya ndio yalikua maneno yake"hii nchi haiwezi endelea mpaka watu wapigane ili hakili ikae sawa na watawala wajue kwamba watu wamechoka,bila hivi hawa watu wataendelea kunyonya...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Wana Arusha tukapige kura Asubuhi hii

    Acha upuuzi you "big idiot",unazani hatujui kinacho endelea na vikao vya hao mliowakabidhi jukumu la kupambana na CDM??
  9. N

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Madiwani kata za Arusha Waahirishwa hadi Juni 30, 2013

    Ngoja tuone atakae pewa uongozaji wa hii film mpya! Maana this time inaonekana starling ni Anord Schwazneeger!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Madiwani kata za Arusha Waahirishwa hadi Juni 30, 2013

    Ingeshangaza kama tume ya uchaguzi isingesitisha mchakato huu,kama wameliona hilo at least wametenda haki japokua wenye dhamana na ufuatiliaji haki hiyo hatuna imani kama watasema yale yanayo stahili kusemwa!
  11. N

    JamiiForums Tanzania Usanii wakati wa kumuaga Ngwea

    Kweli disco limeingiliwa na mmasai,ukitaka siasa fungua lango la mbele then chumba cha tatu kulia ingia!!
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ajali mbeya

    Tuwaombee marehemu wote walale mahala pema peponi,ameni!!
  13. N

    JamiiForums Tanzania RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Upo sawa kabisaa mkuu! litle minded people discusses people not issues!
  14. N

    JamiiForums Tanzania RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    kazi kwelikweli,ila ni bora Tanganyika yetu irudi na walowezi wote waondoke! tehtehtehteh!!
  15. N

    JamiiForums Tanzania CV ya Dr Slaa From Certificate to PhD

    Unamwazo finyu kama hakili yako!!
Back
Top Bottom