Hapo pangisha nyumba ya kibaha then pesa yake panga karibu na ofisi kucut cost . Sema nini mwamba unaroho ya uthubutu . Ungechengesha kidogo tu hiyo akili unafika mbali
Kwa kifupi siku ambazo wewe unajinyima kumla ndio jamaa ameomba awe anapewa unyumba yeye, Hadi sasa mpaka ukahisi kua analiwa jua tu kuna asilimia za upendo zishahamia kwa jamaa .
Ndio mana kamsikiliza na kuchoma sindano kwaajili yake ili akitaka saa yoyote anapewa ili hali wewe unahesabu...
Ni mada nzuri . Ila kuna asilimia kubwa wanasema wameshatangulia mbele ya haki ,Daaah inasikitisha .pia niiipe heko familia ya mtoa mada na wengine ambao walimanage kukaa na dada wakazi muda mrefu zaidi ya mwaka nakuendelea . Wanaokaa na dada karne hii watanielewa hasa kukaa na dada hata miezi...
Ukimwita huyo mwanamke ajielezee hapo jamaa atasukumiwa makaso pamoja na mtoto mpaka ionekane jamaa anamakosa . Inahitaji maamuzi magumu yakiume yenye hekima ndani yake. Hawa viumbe hawa ni kamzozo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.