Recent content by Nostradamus

  1. Nostradamus

    Mmh..Mashaka yanazidi kuniwia kuhusu JW

    alfu lela-u-lela( siku elfu namoja)
  2. Nostradamus

    Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

    Wanaolalamika hata mkiwapa viti vyote vya Bunge kamwe hawataweza kuwa na maendeleo bali ni kubadilisha mbinu za kisisasa na kutumia udini badala ya kuleta maendeleo ya kweli kuondoa Ujinga, Umasikini na Maradhi! Do not worry, let them be 100% May be CHADEMA with 98.78 ya viongozi na...
  3. Nostradamus

    GE2010 JK auza nchi kwa magaidi?

    send that one to dr WILBOD SLAA
  4. Nostradamus

    GE2010 JK auza nchi kwa magaidi?

    ''''Katika mitambo yetu tumenasa mazungumzo ya ndani ya shirika hilo la ujasusi na inavyoonekana lengo kubwa siyo Uranium peke yake bali ni kufanya undumilakuwili(double crossing) kwa kusaidia JK halafu mlango wa nyuma maadui zake ili kuliingiza taifa hili kwenye vita vya wenyewe kwa...
  5. Nostradamus

    GE2010 Slaa amwaga machozi kwa kuona umasikini uliokithiri

    kwa wale waliowahi kuishi shamba..... hivi ukimkuta nguruwe pori kwenye shamba la miwa anakuwaje??? huwa ananogewa na utamu wa miwa mpaka anajisahau na kulia kama amebanwa na mtego. Kilio ni dalili ya udhaifu na wala sio ujasiri. Na kama kila anayestahili kulia hapa TZ angeamua kulia, basi...
  6. Nostradamus

    GE2010 Hii ya kugawa fedha kuvunja makundi -ubungo imekaaje?

    '''''''BILA KUOGOPA RISASI WALA VIRUNGU''''''' Kuwa wazi mzee what are you planning to do????? THANKS A LOT MAANA MNADHIHIRISHA NINYI NI WATU WA AINA GANI. Kinachonichekesha ni kwamba, mtapewa ruhusa ya kufuatilia kila hatua ya kuhesabu kura(no doubt), halafu matokeo yake hamtaamini na...
  7. Nostradamus

    GE2010 Hii ya kugawa fedha kuvunja makundi -ubungo imekaaje?

    Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni! [Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa...
  8. Nostradamus

    GE2010 CHADEMA kuitisha Maandamano Makubwa wiki ijayo

    You're really a great thinker... unafikiri tofauti sana na wengine wenye bongo dhaifu
  9. Nostradamus

    Je, Tumwombe Zitto Kabwe Afute Kauli Yake?

    IT'S ABOUT YOUR SLOGAN''' CCM-chama cha mujahidina'' unataka kutuambia CHADEMA ni kitu gani?? je ni chama cha VITA VYA MSALABA?(CRUSADE?) USHINDWE NA ULEGEE katika jina la dr slaa
  10. Nostradamus

    GE2010 Kilichonishtua Juu Ya Dr Slaa Pale Mwembetogwa

    Right article on a wrong site.truth is strictly prohibited with majority of members inside here. but thanks, at least they will see it though they wont beleave
  11. Nostradamus

    GE2010 Baada ya Kuzomewa Kikwete apanda Hasira; Atamka Atashinda kwa Kishindo

    prepare your gun or spear cause the results will not be on your favor.
  12. Nostradamus

    GE2010 Majimbo 21 yatakayochukuliwa na CHADEMA kabla ya oct 31

    jimbo la chalinze,bagamoyo,muheza,handeni, monduli,bagamoyo,lushoto,mwanga, same mashariki&magharibi,chamwino,dodoma mjini,simanjiro,rungwe mashariki&magharibi,kyela aaaaaaahhh jamani mbona yapo mengi mmeshindwa kuyataja? na hii ni kwa mujibu wa utafiti makini wa SYNOVATE.. CHADEMA...
  13. Nostradamus

    Nyerere alipotabiri kifo cha CCM

    ''I WON'T LET MY COUNTRY BE LED BY DOGS'' hivi haya maneno alitamka nani? kumbukumbu zangu zinaniambia ni KAMBARAGE.. sijui wenzangu kumbukumbu zenu zinasemaje?
  14. Nostradamus

    GE2010 Vyama Vya Upinzani Iringa Mjini Vyaungana: V.O.A

    UKO RIGHT KAKA, jamaa sio tu kwamba sio great thinker but i think he doesn't think at all
  15. Nostradamus

    GE2010 Vyama Vya Upinzani Iringa Mjini Vyaungana: V.O.A

    hustahili kuwa mwana CHADEMA kwa sababu huamini katika demokrasia, you are neither a great thinker even.... mara zote una -sound very violent na kwa kweli watu wa aina yenu, kuna umuhimu mkubwa wa kuwashuhulikia. I like this forum kwa sababu inaonyesha wazi hisia za watu hata wasio na fikra...
Back
Top Bottom