Nostradamus
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 392
- 6
''''Katika mitambo yetu tumenasa mazungumzo ya ndani ya shirika hilo la ujasusi na inavyoonekana lengo kubwa siyo Uranium peke yake bali ni kufanya undumilakuwili(double crossing) kwa kusaidia JK halafu mlango wa nyuma maadui zake ili kuliingiza taifa hili kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Inasemekana kuwa nchi hiyo imefanya ujasusi wa kutosha wa kiuchumi na kugundua kuwa nchi yao itafaidika sana kama Tanzania ikiwa vitani kuliko hali ikiwa ya amani. Wanahitaji Uranium lakini baadaye wanataka waipate kwa njia za panya, halafu wauze silaha na mengineyo'''.
guuuuud....
mnajiandaa kuleta vurugu na uvunjifu wa amani ili mje msingizie mashirika ya kijasusi????
kwa kipindi tulicho nacho, habari shallow kama yako haiwezi kutisha watu hata kidogo,na isitoshe, wengi wenu hamna taaluma ya uaskari na mnafikiri jeshini kuna unafiki na uzandiki kama kwenye siasa na uswazi kwenu!!! unajaribu kuligawa jeshi letu kwa kusema kuna JWTZ B??
JESHI letu linasifika kwa nidhamu na kujituma kwa mujibu wa sheria hivyo jipe moyo kuwa watawaunga mkono katika upumbavu mnaotarajia kuufanya,,
najua kuwa mnajua kuwa ushindi haupo hata mkandamana uchi. na ukweli unajulikana kwamba hata mkileta vurugu na jeshi likaamua kukaa pembeni, mko wachache kiasi kwamba hatutahitaji nguvu kuuuubwa kusafisha virus kutoka kwenye nchi yetu, wewe na wenzako jidanganyeni na umati mnaouona kwenye mikutano ya kibaraka wa MBOWE(SLAA) MDHANI KUWA WOTE NI WAFUASI WA chadema. mtashangazwa na matokeo ya kura na hapo ndipo mtakapojua kuwa nguvu ya umma ipo pande ipi
guuuuud....
mnajiandaa kuleta vurugu na uvunjifu wa amani ili mje msingizie mashirika ya kijasusi????
kwa kipindi tulicho nacho, habari shallow kama yako haiwezi kutisha watu hata kidogo,na isitoshe, wengi wenu hamna taaluma ya uaskari na mnafikiri jeshini kuna unafiki na uzandiki kama kwenye siasa na uswazi kwenu!!! unajaribu kuligawa jeshi letu kwa kusema kuna JWTZ B??
JESHI letu linasifika kwa nidhamu na kujituma kwa mujibu wa sheria hivyo jipe moyo kuwa watawaunga mkono katika upumbavu mnaotarajia kuufanya,,
najua kuwa mnajua kuwa ushindi haupo hata mkandamana uchi. na ukweli unajulikana kwamba hata mkileta vurugu na jeshi likaamua kukaa pembeni, mko wachache kiasi kwamba hatutahitaji nguvu kuuuubwa kusafisha virus kutoka kwenye nchi yetu, wewe na wenzako jidanganyeni na umati mnaouona kwenye mikutano ya kibaraka wa MBOWE(SLAA) MDHANI KUWA WOTE NI WAFUASI WA chadema. mtashangazwa na matokeo ya kura na hapo ndipo mtakapojua kuwa nguvu ya umma ipo pande ipi