Negative255
New Member
- Sep 5, 2010
- 3
- 0
Na haya aliyasema "UCHAGUZI wa mwaka huu kuna watu wa ajabu ndani ya CCM ambao hawafanani na chama. Watu wengi wenye kasoro wamejiingiza na kukichafua chama. Sasa CCM kimekuwa kama kokoro, kinabeba pia watu wachafu."