Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,747
Kumbe chadema inatisha hivi eeeh?!!!
Nilishasema kuwa mkakati wa CCM ni kutumia jeshi lake la akiba lililoko kwenye vyama vya upinzani na Usalama wa Taifa kuhakikisha wanapita kwa hila yoyote. Hizi ni dalili tosha kwamba sasa hali ni tete na ccm wamekosa msimamo na staha. Chama kinachojisikiliza na kuacha kusikiliza watu mwisho wake ni kuanguka kwa kishindo. Mnachokiona iringa ni dalili ya kitakachotokea ktk siku ya kuhesabu kura. Amini nakwambia safari hii CCM wataiba kura kidogo mno lakini watawapa mamluki wao hela za kuibia kura ionekane kwamba upinzai wameiba kura (kupunguza za chadema). Dawa ya chadema ni kuwa makini na kutofungua mlango kwa wakala yeyote wa chama chochote
Nilishasema kuwa mkakati wa CCM ni kutumia jeshi lake la akiba lililoko kwenye vyama vya upinzani na Usalama wa Taifa kuhakikisha wanapita kwa hila yoyote. Hizi ni dalili tosha kwamba sasa hali ni tete na ccm wamekosa msimamo na staha. Chama kinachojisikiliza na kuacha kusikiliza watu mwisho wake ni kuanguka kwa kishindo. Mnachokiona iringa ni dalili ya kitakachotokea ktk siku ya kuhesabu kura. Amini nakwambia safari hii CCM wataiba kura kidogo mno lakini watawapa mamluki wao hela za kuibia kura ionekane kwamba upinzai wameiba kura (kupunguza za chadema). Dawa ya chadema ni kuwa makini na kutofungua mlango kwa wakala yeyote wa chama chochote