Inavyoonekana hawa wakurugenzi wenye viburi Ummy anawalinda, Hata wa jiji la Tanga ni shida tena yuko ktk jimbo la waziri wa TAMISEMI lakini hagusiki, nafikiri hata huyo wa Tunduru naye kuna mkubwa anamlinda na kote ni ukanda wa waswahili sijui km tutapona na Magufuli hatunaye tena nani...
Angalia sura na pozi lake, anaonekana katili kweli. Huyu siyo ameiweka serikali ya mama mfukoni. Ila siamini liMkurugenzi tu la Halmashauri ya wilaya. Ila kuna mtu kule TAMISEMI atakuwa anampa kiburi siyo bure ndio maana hajali wala haogopi ukizingatia jiwe(JPM) hatunaye tena sijui km mama...
Kama mnavyoweza kukumbuka wanajamii forums kuna taarifa iliandikwa ktk jukwaa hili kuhusu Watumishi wa Halmashauri ya willaya ya Tunduru kuwanyanyasa walimu wapya. Kwamba, walimu waliokuwa na tofauti kidogo katika majina yao walilipishwa Shs 82,000/ kwa ushirikiano kati ya ofisi ya Utumishi na...
Nyie Shura ya Maimamu tulieni fanyeni shughuli zenu kwa mujibu wa katiba yenu. Acheni serikali kupitia jeshi la polisi wafanye shughuli zao hakuna mtu anauawa ni sheria ndio itatumika. Rais aliapa kuilinda katiba na sheria zake zote. We unajuaje km kongamano la katiba ilikuwa geresha tu na kuna...
Mama Mkurugenzi bado ukiwa binti mdogo kuna vizee usipokuwa makini vitaondoa ndoto zako mapema. Kuna mwalimu moja wa shule ya msingi Ayamuhale kata ya Marang' anaitwa Sebastian Awe huwa haiingii darasani kazi yake miaka mingi ni kesi katika mahakama mbalimbali. Amekuwa akiwabambikia kesi...
kuiamini serikali hii sazingine ni km kusubiri kuku kukojoa. mm pamoja na kulipia Azam Tshs 15,000 sipati channel yoyote zaidi ya TBC1 na zao Azam. Hawa mabepari wanaiendesha serikali wanavyotaka
wachaga mna sifa za kijinga km wakenya, vyuma vimekaza mnatafuta kiki mjulikane, ww ni mchaga pure hakuna msukuma mjinga aanze kusifia wapenda sifa za kijinga. umaskini ni mkali sana uchagani ndiyo maana hawakai kwako wanaishi km wakimbizi. wachaga wanapenda sana sifa tena za kijinga, akijenga...
Sheria ya Taasisi za Kazi Na. 7, ya mwaka 2004 kama ilivyorekebishwa mwaka 2015, imeanzisha Bodi ya Mishahara ya sekta binafsi ambayo ina jukumu la kufanya utafiti kwa kuzingatia hali halisi ya gharama za maisha na masuala mengine ya kiuchumi na kupendekeza kiwango cha kima cha chini cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.