Recent content by NoreformNoelection

  1. N

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

    Kwa hiyo wewe ni kapuku kwa asilimia 200. Acha "ufara" wewe. Tafuta hela ufurahie kuishi
  2. N

    JamiiForums Tanzania Je Selikali Itafyata mkia kwa masharti kutoka kwa Jumuia ya Madola (Commonwealth)?

    Wanatupa ultimatum wao kama nani-"Who are they" ? Hili ndiyo jibu la "serekale" yako kwa CMAG. Kwanza "sisi ni serekale huru na hakuna mutu ya kututishia: Mabeooo?-weka geshi stendibai. Sisi ni jiwe—tena jiwe kweri kweri".
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

    Kazi gani kubwa anafanya? Acheni utani jamani!
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, zipi faida za kuwa na bwawa kubwa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) ikiwa Unit 1 ya Umeme wateja wa T1 tunatozwa Sh 292?

    Tukishusha bei ya umeme....pesa ya kununulia ma-Toyota LC 800 tutazipata wapi? Nyie mmetusagia kunguni kwa wafadhili hadi wamekata Yale mabomba yetu ya hela ya Bure. Badala ya wao kutupa hela, sisi ndiyo tunawapa. Si mmeona hivi majuzi tumewalipa BSG sijui BCG ya marekani $3,000,000...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mwalimu ashikiliwa na Polisi kwa Wiki 3 kwa kuandika Facebook kutaka Lissu aachiwe huru

    Hii picha imepigwa pale chuo cha kata morogoro????
  6. N

    JamiiForums Tanzania Muliro: Kuna timu iliwahi kung'oa viti, kitendo kile sijasahau na upelelezi unaendelea

    Hiyo timu ng'oa viti FC watakuwa ni Chadomo tu
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Utaachaje kutamba wakati Wewe uko jikoni minyama unajipakulia tu. Taabu ni yetu sisi Wa mchunga, kauzu, na kipande cha nguru/papa
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kuna sehemu nzuri ya kutunza watu hawa ? Au ni story?

    Hao watu, naamini, waliuawa na miili yao ikatupwa kwenye mito yenye mamba. ILA polepole alikuwa anafikiri sawa sawa kweli? Unaacha kazi ya ubalozi bila sababu za msingi halafu unaanza kuisagia kunguni serikali iliyokuwa inakulisha na tena ukiwa ndani ya nchi? Haiyumkini hakuna anayemsikitikia
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Mkiambiwa achaneni na ccm hamtaki. Sasa endeleeni hivyo hivyo... maendeleo mtayaona kwa wengine tu.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Eti na huyu ni Askofu! Maajabu ya dunia! Anachunga Kondoo wa MUNGU

    Anatafuta bahasha ya Samunge kwa kujikomba
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa timu yangu Yanga baada ya kipigo kutoka Dodoma Jiji

    Kwa nini hamkuwatembezea Dodoma jiji bahasha kama kawaida yetu? Namshauri Side avunje kamati yetu ya vigagula fasta. Tutafungwaje na vitimu Uchwara baana. Aaaah
  12. N

    JamiiForums Tanzania Je Diara Djigui pale Yanga yupo kwa ajili ya Clean sheet pekee?

    Kama mnamfukuza kocha tena mtasha mnawapa timu msomali mwenzenu Hayo ndiyo matokeo yake. Robo robo fc anacheeeekaaa
  13. N

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Ruto ni akili kubwa na ana PhD ya darasani na siyo Ya sagura sagura. 1. alijua kwamba bibi hakushirikishwa kwenye wazo la ujenzi wa hiyo refinery Tanga na 2. alijua kwamba akisema hivyo mbele ya bibi, bibi ataanza kubwabwaja, na 3. Na kweli, Ruto aliposema tu, bibi akajaa kwenye mfumo: Mara ooh...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Hoteli Jijini Arusha

    Kama Dola 100 ni ndogo, nenda Grand Melia ni pesa kidogo tu kama $500 kwa siku.
Back
Top Bottom