Recent content by NoreformNoelection

  1. N

    JamiiForums Tanzania Muliro: Kuna timu iliwahi kung'oa viti, kitendo kile sijasahau na upelelezi unaendelea

    Hiyo timu ng'oa viti FC watakuwa ni Chadomo tu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Utaachaje kutamba wakati Wewe uko jikoni minyama unajipakulia tu. Taabu ni yetu sisi Wa mchunga, kauzu, na kipande cha nguru/papa
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kuna sehemu nzuri ya kutunza watu hawa ? Au ni story?

    Hao watu, naamini, waliuawa na miili yao ikatupwa kwenye mito yenye mamba. ILA polepole alikuwa anafikiri sawa sawa kweli? Unaacha kazi ya ubalozi bila sababu za msingi halafu unaanza kuisagia kunguni serikali iliyokuwa inakulisha na tena ukiwa ndani ya nchi? Haiyumkini hakuna anayemsikitikia
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Mkiambiwa achaneni na ccm hamtaki. Sasa endeleeni hivyo hivyo... maendeleo mtayaona kwa wengine tu.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Eti na huyu ni Askofu! Maajabu ya dunia! Anachunga Kondoo wa MUNGU

    Anatafuta bahasha ya Samunge kwa kujikomba
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa timu yangu Yanga baada ya kipigo kutoka Dodoma Jiji

    Kwa nini hamkuwatembezea Dodoma jiji bahasha kama kawaida yetu? Namshauri Side avunje kamati yetu ya vigagula fasta. Tutafungwaje na vitimu Uchwara baana. Aaaah
  7. N

    JamiiForums Tanzania Je Diara Djigui pale Yanga yupo kwa ajili ya Clean sheet pekee?

    Kama mnamfukuza kocha tena mtasha mnawapa timu msomali mwenzenu Hayo ndiyo matokeo yake. Robo robo fc anacheeeekaaa
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiandae sana kisaikolojia kwa lolote mkeo akianza kujihusisha na shughuli za siasa

    Kizuri kiache na wenzako wale
  9. N

    JamiiForums Tanzania Dangote kishatupiga chenga Tanzania? Sasa kujenga Kenya Kiwanda cha Mafuta cha Trilioni 43. Ni baada ya kauli tata ya Rais Samia

    Ruto ni akili kubwa na ana PhD ya darasani na siyo Ya sagura sagura. 1. alijua kwamba bibi hakushirikishwa kwenye wazo la ujenzi wa hiyo refinery Tanga na 2. alijua kwamba akisema hivyo mbele ya bibi, bibi ataanza kubwabwaja, na 3. Na kweli, Ruto aliposema tu, bibi akajaa kwenye mfumo: Mara ooh...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Hoteli Jijini Arusha

    Kama Dola 100 ni ndogo, nenda Grand Melia ni pesa kidogo tu kama $500 kwa siku.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Kwa nini kubanana hapo hapo mjini? Serikali itafute eneo jingine barabara ya lindi au kibaha au bagamoyo ujengwe mji mwingine wa kisasa. Mifano ipo mingi: 1. Delhi vs New Dell 2. Hyderabad vs Secunderabab 3. Tri cities: Richland vs Pasco vs Kennewick
  12. N

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'?

    Mimi Nina kikarina changu T---AAA napiga nacho masafa Dar-Arusha- Dar hakichemshi Wala nini
  13. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 UCHAMBUZI: Maswali 10 Muhimu Kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande

    Halafu Kuna mtu kaikumbatia, eti "hii ni ripoti yangu"
  14. N

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Deni la Taifa halikui kwa kasi kwasababu ya matumizi mabaya

    "Very and very" high national debit and it's ever increasing interest rate will soon send the country to the dogs.
  15. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 UCHAMBUZI: Maswali 10 Muhimu Kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande

    Hao watu 518 walizikwa wapi?
Back
Top Bottom