Wanatupa ultimatum wao kama nani-"Who are they" ?
Hili ndiyo jibu la "serekale" yako kwa CMAG.
Kwanza "sisi ni serekale huru na hakuna mutu ya kututishia: Mabeooo?-weka geshi stendibai.
Sisi ni jiwe—tena jiwe kweri kweri".
Tukishusha bei ya umeme....pesa ya kununulia ma-Toyota LC 800 tutazipata wapi?
Nyie mmetusagia kunguni kwa wafadhili hadi wamekata Yale mabomba yetu ya hela ya Bure.
Badala ya wao kutupa hela, sisi ndiyo tunawapa. Si mmeona hivi majuzi tumewalipa BSG sijui BCG ya marekani $3,000,000...
Hao watu, naamini, waliuawa na miili yao ikatupwa kwenye mito yenye mamba.
ILA polepole alikuwa anafikiri sawa sawa kweli?
Unaacha kazi ya ubalozi bila sababu za msingi halafu unaanza kuisagia kunguni serikali iliyokuwa inakulisha na tena ukiwa ndani ya nchi?
Haiyumkini hakuna anayemsikitikia
Kwa nini hamkuwatembezea Dodoma jiji bahasha kama kawaida yetu?
Namshauri Side avunje kamati yetu ya vigagula fasta.
Tutafungwaje na vitimu Uchwara baana. Aaaah
Ruto ni akili kubwa na ana PhD ya darasani na siyo
Ya sagura sagura.
1. alijua kwamba bibi hakushirikishwa kwenye wazo la ujenzi wa hiyo refinery Tanga na
2. alijua kwamba akisema hivyo mbele ya bibi, bibi ataanza kubwabwaja, na
3. Na kweli, Ruto aliposema tu, bibi akajaa kwenye mfumo: Mara ooh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.