Recent content by NoreformNoelection

  1. N

    Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Labda ndiyo hao hao walimtemesha jiwe
  2. N

    Viktor Orban Ashindwa Uchaguzi huko Hungary

    Kwa hapa Tanzania mkileta nywi nywi nywi mtaliwa vichwa fasta.
  3. N

    Viktor Orban Ashindwa Uchaguzi huko Hungary

    Hiyo landslide ya Magyar (75% sijui 78%) kwa mama Dr. Samia Sululu ni cha mtoto-mama alikomba kura zote- 98.99%. Yaani mama unaweza kusema hakuwa na mpinzani
  4. N

    Trump: Papa Leo XIV ni dhaifu, simshabikii

    Trump is the biggest ass hole president. Thinks killing innocent Iranians and destroying their infrastructures is akin to being strong president.
  5. N

    Nahitaji kufanya check up ya mwili mzima nijue magonjwa niliyonayo

    Full body CT Scan ni Tsh 2,000,000 kwa hospitali za serikali Kwa hospitali binafsi ni Tsh 3-4m
  6. N

    Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    Mnafikiri wamarekani ni wajinga kwa kutomchagua mwanamke kuwa Rais? Mpaka 2030 mtajuta kuzaliwa Tanzania
  7. N

    Mwigulu: Vijana watumie vyeti vya chuo kama dhamana ya mikopo baada ya kuhitimu

    Khaa, Utamuitaje mtu anayetambulika duniani kote kama 1st Class Economist ni Mwanasiasa Uchwara?
  8. N

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Nini zanjibara nendeni burundi kabisa
  9. N

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Mchawi pale simba ni Mangungu na magori
  10. N

    FT | TRA SC 0-0 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid - Arusha

    Simba hakuna timu pale. Msimu huu akibahatika sana ataishia wa tano.
  11. N

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Msameheni tu Rais wenu maana hajui Lita ni ujazo kiasi gani. Hata yule popoma wa 'tani' naye pia hajui ni Tani ipi: imperial au Metric. Halafu ukimuuliza kiungwana Tani Moja petroli ni sawa na Lita ngapi atasema wewe ni mchochezi
Back
Top Bottom