Hao watu, naamini, waliuawa na miili yao ikatupwa kwenye mito yenye mamba.
ILA polepole alikuwa anafikiri sawa sawa kweli?
Unaacha kazi ya ubalozi bila sababu za msingi halafu unaanza kuisagia kunguni serikali iliyokuwa inakulisha na tena ukiwa ndani ya nchi?
Haiyumkini hakuna anayemsikitikia
Kwa nini hamkuwatembezea Dodoma jiji bahasha kama kawaida yetu?
Namshauri Side avunje kamati yetu ya vigagula fasta.
Tutafungwaje na vitimu Uchwara baana. Aaaah
Ruto ni akili kubwa na ana PhD ya darasani na siyo
Ya sagura sagura.
1. alijua kwamba bibi hakushirikishwa kwenye wazo la ujenzi wa hiyo refinery Tanga na
2. alijua kwamba akisema hivyo mbele ya bibi, bibi ataanza kubwabwaja, na
3. Na kweli, Ruto aliposema tu, bibi akajaa kwenye mfumo: Mara ooh...
Kwa nini kubanana hapo hapo mjini? Serikali itafute eneo jingine barabara ya lindi au kibaha au bagamoyo ujengwe mji mwingine wa kisasa.
Mifano ipo mingi:
1. Delhi vs New Dell
2. Hyderabad vs Secunderabab
3. Tri cities: Richland vs Pasco vs Kennewick
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.