Recent content by NoreformNoelection

  1. N

    JamiiForums Tanzania Makabila yanayosifika kwa kutokuwa na ubinafsi

    Wa Wachawi Maharage ya mbeya Wanoko Kukuua ni dakika sifuri Wanawake wanna sura zuri
  2. N

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

    Simba anadondosha point 2 kwa pamba Leo.
  3. N

    JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-2 Simba SC | Ligi ya NBC | CCM Kirumba

    Kwa TRA, Azam, na SBS Simba atakaa.
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, zipi faida za kuwa na bwawa kubwa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) ikiwa Unit 1 ya Umeme wateja wa T1 tunatozwa Sh 292?

    300/unit ni hasara kwa Tanesco. Mimi nashauri bei ya umeme iongezwe hadi sh. 1000 kwa tariff zote. Hakuna cha umeme wa Rea Wala wa Jiwe. Ambaye hataki, ahamie Burundi.
  5. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu Inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kufanya Uchunguzi Juu ya Kauli zake zilizotolewa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi

    We fala kama huna kazi njoo nikupe kibarua cha kuparura samaki.
  6. N

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Kumbe Manzese kwa mfuga mbwa wanatumia dollar siku hizi?
  7. N

    JamiiForums Tanzania South Africa balaa kwa wachumba

    Hilo lijamaa ni kimeo+++
  8. N

    JamiiForums Tanzania Bill Gates: AI Haitachukua Kazi Hizi 4

    Watuletee AI awe Rais wetu wa mpito.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

    Kwa hiyo wewe ni kapuku kwa asilimia 200. Acha "ufara" wewe. Tafuta hela ufurahie kuishi
  10. N

    JamiiForums Tanzania Je Selikali Itafyata mkia kwa masharti kutoka kwa Jumuia ya Madola (Commonwealth)?

    Wanatupa ultimatum wao kama nani-"Who are they" ? Hili ndiyo jibu la "serekale" yako kwa CMAG. Kwanza "sisi ni serekale huru na hakuna mutu ya kututishia: Mabeooo?-weka geshi stendibai. Sisi ni jiwe—tena jiwe kweri kweri".
  11. N

    JamiiForums Tanzania Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

    Kazi gani kubwa anafanya? Acheni utani jamani!
  12. N

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO, zipi faida za kuwa na bwawa kubwa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) ikiwa Unit 1 ya Umeme wateja wa T1 tunatozwa Sh 292?

    Tukishusha bei ya umeme....pesa ya kununulia ma-Toyota LC 800 tutazipata wapi? Nyie mmetusagia kunguni kwa wafadhili hadi wamekata Yale mabomba yetu ya hela ya Bure. Badala ya wao kutupa hela, sisi ndiyo tunawapa. Si mmeona hivi majuzi tumewalipa BSG sijui BCG ya marekani $3,000,000...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mwalimu ashikiliwa na Polisi kwa Wiki 3 kwa kuandika Facebook kutaka Lissu aachiwe huru

    Hii picha imepigwa pale chuo cha kata morogoro????
  14. N

    JamiiForums Tanzania Muliro: Kuna timu iliwahi kung'oa viti, kitendo kile sijasahau na upelelezi unaendelea

    Hiyo timu ng'oa viti FC watakuwa ni Chadomo tu
  15. N

    JamiiForums Tanzania Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    Utaachaje kutamba wakati Wewe uko jikoni minyama unajipakulia tu. Taabu ni yetu sisi Wa mchunga, kauzu, na kipande cha nguru/papa
Back
Top Bottom