[/I]
Ndugu Mtemi,
Tufanye kwamba ungekuwa "criminal lawyer", je ungekuwa unatetea watu wa namna gani? wezi, wauaji, wabakaji? maana hao wote ungewachukia, ina maana basi ungeacha kazi ya uwakili.
Kumbuka kuwa hawa akina manji, na wengine wengi wanaotajwa kwenye media, kisheria ni...