ICYMI: The year that wasn't
A famous writer was in his study room. He picked up his pen and started writing :
**Last year, I had a surgery and my gall bladder was removed. I had to stay stuck to the bed due to this surgery for a long time.
**The same year I reached the age of 60 years and had...
Hapo zamani kulikuwa na binti mmoja alikuwa anamlalamikia babake juu ya maisha magumu.Binafsi yeye hakujua ni siku gani atafanikiwa na alikuwa ameshakata tamaa katka kupambana na kuhangaika muda wote, kwa kuwa kila alipotatua changamoto moja nyingine kubwa zaidi inaibuka.Babake alikuwa mpishi...
Ni jioni tulivu isiyokuwa na rapsha nyingi labda kwa kuwa ni mfungo Wa mwezi mtukufu Wa Ramadhan katika tafakari ya kawaida tu na kuwaza tu..labda naweza hata kukwaza wengine lakini nitaomba nisamehewe bure,
Nafikiria kawaida sana juu ya ubunifu Wa kubuni mambo mbalimbali yenye kutatua...
Tafakari Huru:
Katika tathmini yangu ya kimazingira,sisi kama watanzania, tunashuhudia majanga mengi sana ya kimazingira, nadhani kwa upofu tulionao bado hatujaona ni kitu cha kushitusha kutokana na madhara mengi yanayotokana na majanga hayo bali tunaona na kufikiri ni sababu ya nguvu za asili...
Well said..Sisi Watanzania tujitahidi kufikiri kidogo hata kama tunamitizamo tofauti...nchi inahitaji zaidi anayofanya Magufuri.. Direct intact to confront with an issue.. Ukisema usubiri kuimarisha watanzania wengi tutakufa..tuna urgent and important problems zinazohitaji urgent and immediate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.