Recent content by NOKE

  1. N

    COET or DIT

    Weka UDSM
  2. N

    Mechanical ya arusha technical na nit ipo bora

    Achana na ipi bora, angalia ni chuo gani ni rahisi kwako kuishi ie gharama za maisha na kujifunza. Chuo mpaka kikapewa idhibati ya kufundisha kozi, it means kinawezatoa product tarajiwa. Siku hizi end product ya vyuo vikuu inabase zaidi kwenye uwezo wako wa kutafuta maarifa na wala sio jina...
  3. N

    Wafanyakazi wa serikali changamoto

    Wasumbufu sana hao, usiwakope
  4. N

    Tuwe makini barabarani

    Ukiona una stress ambazo hauzimudu, usi-drive. Barabarani pana taka umakini sana, papara zimeleta ajari nyingi. Asante kwa kuniweka aware, poleni
  5. N

    Pharmacy inayouza Medical Dietary Supplements kwa bei ya Jumla.

    21 century (Emma medics) iko sehemu gani? Naomba location au namba yao ya simu.
  6. N

    Pharmacy inayouza Medical Dietary Supplements kwa bei ya Jumla.

    Habari, Nijulishe jina, contacts na location ya Pharmacy inayouza dietary supplements. Note: Nahitaji Medical dietary supplements sio gym supplements. Hizi hapa, 1. Vitamin D 200 IU 2. Calcium biophosphate/Human milk fortifier 3. Premature formula Pamoja, Noke
  7. N

    Naomba kujuzwa chimbo la dawa za jumla

    Naomba utaje chimbo la dietary supplement.
  8. N

    JInsi ya Kuagiza Bidhaa China Kupitia Alibaba

    Nawezapata gym supplements bora ie zilizothibitiswa China ?
  9. N

    Hatimaye kesi yangu na NMB Bank yapata ufumbuzi

    Wadau, nawashukuru kwa maoni yenu. Niliyafanyia kazi, na jana fedha zangu 1mil + zilirudiswa kwenye a/c yangu ikiwa ni siku ya 15 tangu tatizo lilipotokea. Kuna Mdau alishauri nichukue namba ya Bank officer atakayesikiliza kesi yangu then niwe nawasiliana naye hadi ufumbuzi utakapo patikana...
  10. N

    Kuna Siri kuu mbili tuu za Kumkojoza Mwanamke

    Furaha yake, jukumu lake. Tusibebeshane mizigo ya kale. Wanawake wapewe elimu yao, wajitambue. Next time, uje na mada kama hii kuwaelimisha wanawake. Binafsi sihangaiki na mwanamke ambaye yuko nyuma kwenye jambo lake yeye mwenyewe, namuona hajitambui na mzigo.
  11. N

    Kuna Siri kuu mbili tuu za Kumkojoza Mwanamke

    Haipo siri zaidi ya yeye mwenyewe kutaka kukojoa.
  12. N

    Mdau, ulitatua vipi kesi yako na NMB Bank?

    Bila bila, bado fedha hazijarudi. Nimechukua number ya Bank officer kila day namcheki apushi hela yangu irudi. Nikifanikiwa nitaleta feedback.
Back
Top Bottom