its so sad kwa mtu mzima na assume umeelimika kuandika hivi, je unafikiria kizazi chako kitakulia kwenye mazingira ya namna gani kama tu wakat huu unaongea hiv!?
Mzee angalia taifa unaloandalia wanaokuja, tusiandike ushabiiki. anaweza akawa mwanao ndio katoweka siku za mbeleni sidhan kama...
me nadhan hapo unautafakari kimapana coz hauamini jamaa kaimba alichokiimba. ila kumbuka kuna mstari kasema yeye ni mtoto wa wote,yan upande wa DAD yupo na upande wa wananchi yupo,kwenye situation kama hii msanii huwez kuwa hivo halafu ukaiambia jamii tena kwenye wimbo,kama yuko kote busara...
l
me sijaona uvunjifu wa amani zaidi ya raia kudai haki itendeke kwa kila raia. kama ilivyokuwa kwa waliofukuzwa kwa kufoji vyeti basi na wengine wawajibshwe sawasawa na hao, lakini swala la kutoa vyet limekuwa gumu, imekuwa rahisi kuvamia clouds na bunduki na mengine yanayotokea.
me mpaka...
hili sio swala la kisiasa, ni utekelezaji wa agizo la raisi au naye ni opposition!?
kijana hautakiwi kuwa biased labda kama unafaidika na huo upande, be open minded.
anawatafutia living certificate kwanza mtulie maana imeshakuwa tabu,
anyway, ametoa jibu jepesi na la kisiasa kwenye swali la msingi, huko ndiko tulipofika ila pia tunasahau kuwa mtu anayeongea sana ni rahic kwa mtu mwerevu kutambua tabia yake na uelewa wake wa mambo, hasante kwa social...
darasa la nne alifeli akahamia mjin ili asome tution, duh!? nakumbuka mwaka wetu darasa la nne alifeli mmoja tu (mwaka 1997). kama hii taarifa ni ya kweli, basi acha tu tununue sembe hata 3000 kwa kilo.
hi JF members,
if you like looking good in nice unique sunglasses please visit and follow our page bv90_sunglasses on instagram for killer shades.
perfect to wear even at night, nice frame style, perfect lens which can not destroy your vision or lie.
please check 'em out and press your order...
naomba nitoe opinion yangu hapa, kuna tofauti kati ya hip hop na rap.
rap ndio inafanywa sana siku hiz, hapa tz msanii anayefanya hip hop ni fid q na hao tamaduni labd.
pa mwana hip hop anatumia style ya rap kufikisha ujumbe ndio maana hata hao kina young killer wanajichanganya coz wanarap ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.