PC KUGOMA KUWAKA
Pc yangu HP Elitebook 8460p ukibonyeza power button haiwaki kabisa lakini inaonesha kupokea umeme nikiconnect charger.
Nikitoa battery na kulirudisha ndipo inawaka yenyewe bila kupress power button. Tatizo ni nini?
Naomba msaada plz.
Asante kiongozi.
Nafikiri kama kuna settings za kuzuia hili nizifanye. Naona kubadili window ni last option maana inaitaji muda zaidi, sina hio window 8.1 na muda wa kutosha.
Asnte
Nimefanya hivi;
1.Nimezuia background apps zote zisitumie data.
2. Nimeset metered connection
3. Nimeweka data limit per day ( lakini data nazotumia kwny simu kwa wiki, hazitoshi kwenye PC kwa masaa 2 wakati kazi nazofanya ni zilezile)
Natumia mtandao wa Tigo
Habari wakuu
Naombeni msaada wenu
Pc yangu inatumia data nyingi kupita kiasi. Ina window ten pro.
Nimejaribu kusolve kwa njia nyingi zinazooneshwa na google lkn sijafanikisha.
Saidia hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.