mzee wa chobingo
Member
- Mar 8, 2017
- 21
- 30
Kuna ambae ashakutana na tatizo kama hili. Msaada wakuu maana nimekwama na simu azipokelewi
hata mimi napata shida hiyo hiyo, ukiweka namba ya necta inakataaAlie fanikisha kujisajili afya jmn, nimekwama kipengele cha NACTE / EQUIVALENT, quote hapa
Unachotakiwa kufanya ni kuangalia nfasi zilizopo usifanye machaguo ya mkoa unaoutaka anza kuangalia mkoa kwa mkoa naona all wameweka mikoa yenye uhitaji na mikoa mingine itakuwa imejaa,Mimi Jana ilinisumbua hivyo Nikabahatisha mikoaSielewi hii kitu, hivi ni kwa Afya tu au hata watu wa Elimu wanapititia hii. kwenye kuichagua vituo, vituo havijitokezi au vimeshajaa tayari
Naona Wana watu wengi ukibaatika kukamata line sawa ikishindikana sawa lakini mimi sijapata nafasi.Waziri alisema zitakuwa zinapokelewa, kwanini wazingue?
Inakubali kama majina uliyoandika yanaendana na yaliyoko kwenye cheti cha form 4Hivi inakubali kweli kubadili majina, maana Kuna mtu alitaka a-edit jina la Kati ikazngua
Itakua kuna sehemu unakosea jinsi ya kuiandika,inatakiwa iandikwe kama ilivyo andikwa kwenye cheti chako cha form pia majina yako yafanane na ya kwenye cheti
hatari, hapo kuna dili zitapigwa sana.na hata afya pia ni hivyohivyo1.Nawaona vijana wakihangaika kwa wakuu wa shule kuomba barua angalau ziwaoneshe walijitolea ktk shule hizo.Japo si kweli.
2.Kutolewa kwa kibari cha issue Kama hizi ni fursa kwa wanaotangaza amini..hata wao walikisubiri kibali hiki kwa hamu connection na michongo itawale.
MUNGU NA AKATENDE NDUGU ZANGU MPATE AJIRA NCHI NI CHANGA SANA HII WQSOMI MNAHITAJIKA Hatukufikia hatua ya degree holder mfagie barabara.
Mbona nkitaka kubadili yaan kuliondoa jina la Kati yaan haikubali kulifuta ilo jinaInakubali kama majina uliyoandika yanaendana na yaliyoko kwenye cheti cha form 4
Uliwezaje kuondoa jina la kati mbona mimi mfumo unakataa kuliondoa!Weka yaliyoko kwenye cheti,mi mwanzo nlikua na matatu kwa mfumo ule wa mwanzo kipindi cha marehemu jiwe,ila jana ikabidi nifuate vile mfumo unavyotaka kwa kujaza majina yaliyoko kwenye cheti,so nikaweka mawili
Nenda sehemu yenye taarifa binafsi then utaona option ya oanisha taarifa na NACTE hapo utaingiza namba yako ya mtihani na mwaka wa kumaliza ,ikiwa sahihi utaletewa pale jina lako na shule uliyosoma then utaona sehemu ya kusave ,hapo unakuwa tayari ushabadiliUliwezaje kuondoa jina la kati mbona mimi mfumo unakataa kuliondoa!
Shukran mkuuSina uhakika ila nadhan ile hatua ya Kwanza ambayo unajaza taarifa zako binafsi Kama jinsia, level ya elimu yako, namba ya simu, namba ya nida, na mengine ndio usimama Kama CV
Uwii na Mimi jina la Kati mfumo unakataa kuliondoaUliwezaje kuondoa jina la kati mbona mimi mfumo unakataa kuliondoa!