Recent content by Noel mbangala

  1. Noel mbangala

    Nani anastahili Tuzo za Mhamasishaji Bora Ligi Kuu?

    Haji sander manaaaa
  2. Noel mbangala

    Burnaboy anastahili kupata tuzo la BET, alisimama na Wananchi kupinga uonevu wa Serikali na Polisi

    Daaaaa! Ni sahihi lakin unadhani kwa msanii wetu DIAMOND PLATINUM anaweza kuibuka na tuzo au vp ? Wakuu
  3. Noel mbangala

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Ndugu zangu watanzania mabibi na mabwana awali ya yote hatuna budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa pumzi anayotupatia .Kipekee napenda kutoa pole kwa watanzania wote kwa msiba uliotukuta kwani ni wetu sote. Ningependa kuwasii ndugu zangu watanzania na viongozi wa umma kwa ujumla kuwa mungu...
  4. Noel mbangala

    Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    Wana jf naomba kuuliza .Hiv kutokana na kifo cha rais nni kinafanyika hapa ili kumpata rais mwingine.je kuna uchaguzi mdogo utafanyika au
  5. Noel mbangala

    Msaada wana jamii

    Kama kuna MTU anafaham au amesikia kuhusu taarifa za nafasi za jeshi msaada jamani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Noel mbangala

    Professa Lipumba achaguliwa kugombea Uenyekiti ndani ya Chama Cha Wananchi(CUF)

    Duuuhuhhhhh Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Noel mbangala

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Poleeeeeee sana ndo uwezooo wake ule siyo yeye ni mguuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Noel mbangala

    Lowassa kurejea CCM: CHADEMA imepata penati dakika za lala salama!

    Safi sana kaka mkubwa una upeo mkubwaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Noel mbangala

    Paul Makonda: Kuanzia 01.03.2019 kila mtu lazima awe na kitambulisho cha machinga au ajira, kama huna we mhujumu uchumi

    Daaaa huu sasa jamani ni ukatili kabisa so tunaludi kwenye colonial economy duuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Noel mbangala

    Naomba kuuliza au ushauli wenu

    Jamani mm ni kijana ambaye unapenda sana kujiajil sema nataka nifungue kama bar ya kunywa vivywaji mbali mbali ,Naomba mchanganuo wa ghalama zake Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  11. Noel mbangala

    Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

    Na ww pia ni kibaraka wa maguu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom