warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,256
Siandiki utetezi ila kwakua we ni mwana fisiem najua walishakuondoa ubongo, sasa nikuulize amekuja kwenu unasemaje? Maana ******** alikua kila siku anaimba fisadi lile fisadi lile sasa je atampeleka kwenye mahakama ya mafisadi?Utetezi mbovu sana huu.