Recent content by Nockout

  1. N

    Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

    Mwanamke mwingine anavaa boxer sasa kuna raha ipi ya kumvua nyupi
  2. N

    Moshi: Kumiliki jiko la nguruwe ni zaidi ya kuajiriwa Serikalini

    Twende Banana, Dar..kitimoto pori taaaamu kama uch.. Ukitoka kutumia, ukaona tena, unatamani kutumia
  3. N

    Ziara yangu ya siku 6 nchini Korea Kaskazini: Tanzania hakuna udikteta

    Israel ni wataalam wa Ujasusi duniani kuzidi nchi zote hata USA. Nchi nyingi zinawaogopa wanaokwenda huko wakidhani huenda ni majasusi wanaotumiwa na Israel.
  4. N

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Kuhusu uzalendo sawa, lakini tuangalie outputs...siyo kwamba tunajidharau watanzania, lakini ukweli unabakia, performance ya mkenya ofisini ni watz wachache wanaweza kufikia level yao katika top managerial positions...
  5. N

    Kila tendo la ndoa na mume wangu hunipa maumivu chini ya kitovu

    Kifungo cha shetani asiyetaka uolewe. Piga maombi kwa sana. Halafu uache uzinzi usiwe na gono
  6. N

    Embu funguka, umemsevu mchepuko wako kwa jina gani?

    Simu yangu ina passwords 3. Michepuko wanajua nina mke. Hawapigi wala kutuma msg mpaka niwatafute. Kwahiyo nimewasave vizuri: baby, Malaika, Soulmate, Beautiful, n.k
  7. N

    Relief for Afrika

    Umeiona wapi
  8. N

    Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

    Hahahaaa.....nami nisaidie kupata namba ya mpishi mzuri
  9. N

    King Mswati III atangaza mabadiliko ya jina jipya la nchi ya Swaziland

    Duh nchi ameipa jina lake kabisa. Kweli hii ndo Africa
  10. N

    Mafuta yenye ubora kwa gari yako

    Hahahaa.....sijawahi kumiliki Passo. Nimeanza kumiliki gari, Harrier
Back
Top Bottom