Israel ni wataalam wa Ujasusi duniani kuzidi nchi zote hata USA. Nchi nyingi zinawaogopa wanaokwenda huko wakidhani huenda ni majasusi wanaotumiwa na Israel.
Kuhusu uzalendo sawa, lakini tuangalie outputs...siyo kwamba tunajidharau watanzania, lakini ukweli unabakia, performance ya mkenya ofisini ni watz wachache wanaweza kufikia level yao katika top managerial positions...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.