Recent content by Noah..

  1. Noah..

    Wazoefu wa kuchepuka hii imekaaje?

    Mada ifungwe….. umemaliza kila kitu
  2. Noah..

    Panya road Wametikisa huko Mbagala Saku

    Apo nyuma yao kuna panyabook, yani wakidhibitiwa hao hao panyaroad hawafurukuti tena….
  3. Noah..

    TANZIA Nigeria: Sis Osinachi Nwachukwu aliyeshirikishwa wimbo wa ‘Ekwueme’ afariki dunia

    “The lord brought to, and the lord will take us through” Rest in peace
  4. Noah..

    Bidhaa zimepanda bei, sasa Soda ni Tsh 600/=

    Mama ntilie bado hajapandisha bei…. Ila hicho kipimo chake ndo noma!! Vijiko 7 wali wa buku umeisha…
  5. Noah..

    Ushauri kwa mheshimiwa Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania

    USHAURI KWA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA Kwanza nichukie nafasi hii adhimu kukupongeza kwa kazi kubwa unayoifanya katika kuhakikisha unaleta maendeleo ya haraka kwa taifa letu la Tanzania. Umefanya mengi katika kuhakikisha elimu inakuwa bora na nafuu, maji yanapatikana kwa...
  6. Noah..

    Fursa wahanga wa ajira

    Duu.. Kwa sifa hizo na bado unatafuta kazi!? Ataree
  7. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Pale kuna sumaku na kichwa cha charge kinachoingia kweny Umeme... Ingawa pichan havipo
  8. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Kweli kabsa.... Watu wana maarifa ya hali ya juu!!
  9. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Ni kweli.... Lkn Hakuna aliyezaliwa na ujuzi, wote walijifunza! Nimesikitika katika hilo tukio lako
  10. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Hahah.... We unapotosha umma
  11. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Ninaufahamu nao.... Coz nimesoma Auto electrical, so A, B, C za electronic hazijapita kushoto mkuu
  12. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Naonekana kama nachekesha eehh!?[emoji2] [emoji2] [emoji2], ni technology ambayo si ngumu kama una idea na electronics! Ikanivutia kujaribu icho kitu... Ila skupata matokeo chanya ndo mana nkaomba msaad huku mkuu
  13. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Nitashukuru kwa niaba ya wana!!
  14. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Unaposema simu ya kisasa.... Nadhani smartphones ndo unaongelea! Na katika jaribio langu nimekuwa nikitumia simu za aina hiyo mkuu
  15. Noah..

    Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

    Huwa natumia sumaku ili kuwezesha coil kupokea.... Au kuna aina maalum ya magnetic inayotakiwa!?
Back
Top Bottom