Recent content by no u

  1. no u

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Sawa. Natanguliza shukrani
  2. no u

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu habari.. nahitaji kitabu chenye namba za rangi za magari ya toyota.. mfano wake nimeweka kwa picha hapa
  3. no u

    Umewahi kufanya kazi gani yenye hatari kubwa ambayo kidogo ikutoe uhai?

    Mimi si mwandishi mzuri ila nitajaribu kuandika niwezavyo. Mwaka 2018 niko kisiwani, nilikuwa nikinunua samaki wabichi(sato) napeleka mwanza, siku hiyo mida ya jioni napigiwa simu na wavuvi wa kisiwa cha jirani kuna mzigo mkubwa tu nikafuate.. nikaomba mtumbwi wa kasia kwa jamaa yangu mmoja...
  4. no u

    Nauza kiwanja Kanyerere-Mwanza

    Atakaye hitaji kujihakikishia jiji uwepo wa kiwanja hiko ni Plot no 836, block c
  5. no u

    Nauza kiwanja Kanyerere-Mwanza

    Na ndio maana nilisema maongezi hapo yapo hii ni biashara mzee
  6. no u

    Nauza kiwanja Kanyerere-Mwanza

    1.Kiwanja ni changu ndio 2. Nimekipima mwaka 2019 3. Nyaraka ninazo za mauziano 4. Toka nimepima sikuwahi kupata muda wa kwenda kufatilia tena kuhusu hati maana niliondoka mwanza 5. Tulitoa gharama za upimaji kwa watu wote tulio na viwanja huko lilikua zoez jumuishi
  7. no u

    Nauza kiwanja Kanyerere-Mwanza

    Habarini za leo.. ninauza kiwanja kipo kanyerere center ni mwendo wa dakika 10 kukifikia liko tambarare, umeme na maji vimefika.. Kiwanja ni 18m upana kwa 40m urefu, kiwanja kimepimwa ila hati sijaifuatilia.. Ninakiombea 13 milion (tunaweza kuongea pia) Sijaambatanisha picha maana siishi...
  8. no u

    Geita ni Mkoa wenye dhahabu nyingi nchi nzima na hii ndio Standi yao ya Mkoa ya Mabasi

    Nadhani kati ga mwaka 2010 hadi 2012 stamdi hii ilikuwa imejengwa tena kwa pavement kabisa..... shida sijui ni mkandarasi ama nini maana ilitengeneza mabonde mapema sana hatimaye imekuwa hivyo
  9. no u

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Hii nimechelewa kuiona sijui itakuwepo bado
  10. no u

    Kwahiyo mnaona ni sawa above 25 waendelee kukaa majumbani wakila vya bure?

    Kwan walituzaa ili iweje hebu tuache tule vya wazee wetu kwanza hawatulalamikii
  11. no u

    HAKAINDE HICHILEMA: Nikosoweni ninapokosea ikiwezekana muandamane ni haki yenu

    Hapo kwenye TAG umemaliza kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
  12. no u

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Shukrani ngoja nijipange then tuwasiliane
  13. no u

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Habari mkuu naomba kuelewa bei ya hiki kifaa hadi kunifikia
  14. no u

    Msimamo NBC Premier League 2022/2023

    Huyo geita mtoe hiyo nafasi ya 4
  15. no u

    Bei ya simu used Zanzibar

    Yaweza kuwa niliwahi nunua s7 edge zanzbar 240000 sema niliifuata mwenyewe
Back
Top Bottom