Recent content by no one like you

  1. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania hadithi ya nimeoa mwanamke jini sehemu ya nne inaendelea

    najiri akasogea kwangu na kunishika mabegani,ghafla mavazi mazuri ya rangi ya kahawia yaliposhuka na kujivika mwilini yenyewe,kwa kweli mambo yalienda mtindo wa mazingaombwe,ndipo nilipata ruhusa ya kumvisha pete mwanamke mlembo huyo jini najiri,kwa maneno matamu yalijaa mwangwi akisema,sasa...
  2. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania hadithi ya nimeoa mwanamke jini inaendelea,sehemu ya tatu

    ninachosema kuwa maneno yale yaliyotoka kinywani mwa najiri yaliniacha kinywa wazi ni kwa sababu haiwezekani jini kuolewa na binadamu,najiri alizitambua fikra hzo ,na akadai amechagua niwe mume wake na ameamini sitomsaliti,ama kweli ukistaajabu ya binadamu utayaona ya majini!kumbe nao wanaogopa...
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwendelezo wa hadithi: Nimefunga pingu za maisha na mwanamke jini

    kwa kweli nilipigwa na butwa kuona mazingira yale,najiri aliligundua hilo,kwa sauti ya upole najiri akaniuliza'unashangaa nini mume wangu wa ndoa'?kwa kweli ni maneno ambayo yaliushtua moyo wangu kuniita mume wake,kwani ni ajabu dini kuolewa na binadamu,nilitaka kumhoji maswali kadhaa najiri,kwa...
  4. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefunga pingu za maisha na jini

    UKWEL HALISI WA MAISHA YANGU naitwa jey,nimezaliwa mwaka 1990,mkoani iringa,nina umri wa miaka 26,nimeishi kwa shida sana katika maisha yangu yote kwan nilizaliwa peke angu ila usiku nilikua na rafiki mtoto wa kike ambae hakuonekana mchana ila usiku tuu,alikua akinishtua sana hasa wakati akija...
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mchumba, nimeatach na picha yangu

    Mimi Ni Kijana Wa Kiume,nina Miaka 27,elimu yangu ni Diploma, mimi ni mkristo, ninatafuta mchumba wa kike, sura ya kawaida, mkristo, elimuyoyote, umri asizidi miaka 26, tuwasiliane kupitia 0763175935
  6. N

    JamiiForums Tanzania Walimu waboreshewe maslahi

    BRN ndo mchawi wa elimu kabisaaa!
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Somo: Woman's Private part disappears after sex with married man in Ukambani

    too wounder and funy
  8. N

    JamiiForums Tanzania Wale waliochaguliwa Chuo cha Ualimu Mtwara tukutane hapa

    Namshukuru mungu sana nimekoswa na panga la serikali, nimechaguliwa kujoin mtwara teachers college, waliochaguliwa wengine tuwasiliane kupitia 0763175935
  9. N

    JamiiForums Tanzania Naomba mniangalizie hili jina kwenye selection za Ualimu

    nimeona jina langu jaman,nimechaguliwa kwenda chuo cha ualimu mtwara
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ukwel kuhusu Mafunzo ya Ualimu ngazi ya cheti

    Polen na kazi wapendwa, pia poleni na stress kwa kile ambacho wizara imefanya, kusema ule ukweli mim niliamua kuwasiliana na mkuu wa chuo Tukuyu, akanambia wakuu wa vyuo vya ualimu vyote wameletewa barua zenye taarifa ya kufutwa kwa mafunzo ya ualimu ngaz ya cheti, na akasisitiza kuwa majina...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Naomba mniangalizie hili jina kwenye selection za Ualimu

    Niliaply ualimu diploma, jina ABEL G KIKIMBA, nimesoma madibira 2013 na nilipata two, nilituma maombi wizara ya elimu.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira English Medium Schools

    au nipe namba zao za simu mwanangu,nakuomba
  13. N

    JamiiForums Tanzania taja jina la mpenzi wako aliyewi kuutesa na kuubuluta moyo wako

    prisca ,sitamsahau
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nyonyo lampoteza Mwanaume

    Hahaha hatari
Back
Top Bottom