Recent content by Nnyindojihadini

  1. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Mshauri amuone yule mrithi wa mtaalamu wa kuwezesha walinzi wasio onekana.
  2. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Mbona umelewa asubuhi na mapema, nafsi yako inasutwa na nini labda? Maneno ya kilevi levi haya!!
  3. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Mjue mchawi kupitia moja ya sifa yake kuu ya wivu.
  4. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Elimu yangu ni ya uProf wa kunanga bunge la nchi na serikali yangu huko radio UNO. Hohehahe ni yule anaye shauri ulinzi kwa CAG. Huo ulinzi anapewa na nani dhidi ya nani?? Hii haina tofauti na Kiongozi kama PM mstaafu kuhamia upinzani akashiriki maandamano batili, yule mlinzi wake atapambana...
  5. N

    Ogopa sana kifaa kinachoitwa “Wireless Speaker”

    Hizo za zamani waya ukikatwa shughuli ndio imevurugika.
  6. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Untouchable ndio nini? Prof anatakiwa ajilaumu mwenyewe kwanza na pili kama wako walio mshauri juu ya kauli ya hila kule UNO radio.
  7. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Mshauri CAG akague ulimi wake ulipojikwaa, asihangaike kuzoa maji yaliyo mwaika kwenye mchanga.
  8. N

    Je, Profesa Assad aongezewe ulinzi?

    Ulinzi uongezwe huko kwenye ujenzi wa SGR na Stigler HEPD tujue raslimali zinazotokana na eneo linalo husika na ujenzi ni kiasi gani na taifa linafaidika vipi nazo?. Mfano magogo ya miti itakayo katwa. Yasemekana wachina waliojenga TAZARA baadhi yao ni matajiri wa kutisha huko china kwa utajiri...
  9. N

    Rais Dr. Magufuli afanya mazungumzo na Rais Mstaafu Dr. Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es salaam

    Ukiona hivyo jua kutakuwa na zoezi la picha ilipangwa. Isiwe EL pekee kupiga picha na mh Rais. Kumbuka bila kujiongeza unasahaulika oi. Kivuli cha flyover wakati wa jua la utosini la mchana. Juzi kati hapa mtu kashindwa swali, komandoo ni nickname ya aliye kuwa rais wa wapi? Ara ndogo angalizo.
  10. N

    Rais Magufuli, tafadhali kataa kuupokea Uwanja mpya hadi wabadilishe vibao vya Airport mpya!

    Angalizo la msingi lakini umekopilizia/igilizia/kandamizia.
  11. N

    Zitto: Kigogo kutoka CCM ambae aliwahi kushika nafasi nyeti serikalini, kukabidhiwa kadi namba 2 ya uanachama wa ACT Wazalendo

    Kigogo wa CCM ambaye hakujifunza kitu kupitia Edward L, huyo atakuwa ni tahira asiye na madhara yeyote.
  12. N

    Hili la Taifa Stars linafurahisha

    Yuko kocha wa timu ya taifa ya Brazil jina sikumbuki alianya tafiti wachezaji soccer wa timu ya taifa alipo waachia kukutana, na wapenzi wao siku moja kabla ya mechi uwanjani kesho yake walipiga mpira mwingi sana Wako Wema wangapi kwenye uhamasishaji? Wachezaji wetu wa soccer wa zamani...
  13. N

    Dkt. Bashiru amzuia Juma Nkamia kuendeleza mjadala wa kuongeza miaka ya Rais kukaa madarakani kuwa 7

    Fedha ya uchaguzi ingewe kwa KM za ujenzi wa Sijiara zingepatikana ngapi ima madaraja mangapi au engine ngapi, mabehewa je???. JPM aongezewe miaka iwe 7 tusichezee fedha wakati tumempata Rais anayetosha kwa asilimia nyingi.
  14. N

    Kati ya Jasusi na Commando, yupi ni mtu hatari sana anayepaswa kuogopwa?

    Jasusi muuza madafu ama miwa niwakuogopwa kuliko komandoo pamoja na huu ukweli kuwa wote wanautaalamu wa kutumia visu. , Huu uvumi wa kuwa Abunuasi kitaaluma alikuwa jasusi una ukweli wowote?
  15. N

    Chumba cha uwanja wa ndege terminal 3 cha waka moto

    Mbinu ya zamani sana ya kufuta ushahidi Waliotumia mbinu hii wengi wao ni marehemu au wako katika kitanda cha kusubiria umauti.
Back
Top Bottom