KIKUBIJI
Senior Member
- Apr 29, 2017
- 117
- 124
Mnafiki mwingine huyu.
Ni kweli, na natumai kamwambia guys mtu simuwezi, kashindwa NyerereMaalim Seif kiboko,yaani kawakutanisha bila kupanga.
Sio kila mtu maalimMaalim John Pombe Joseph Magufuli
Maalim Jakaya Kikwete ( Mwalimu wa 'jeiwii')
Watu wanaongea meeengi issue iko hivi ukitaka kuibomoa Ccm ibomoe piece by piece na kirahisi anzia Zenji NIMEMALIZA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi JK anaweza kurudi kuwa mbunge wa kuteuliwa? kama ni ndio uwaziri mambo ya nje unamhusu
Title tu lenye maana mwalimuMaalim Seif Sharrif Hamad!
Hii Maalim ni moja ya Majina yake ama title tu?
Wamependeza sana. Hivi hii huwa inatokea kwa bahati viongozi kujikuta wamevaa mavazi ya kufanana au kadi ya mwaliko ilieleza "dressing code" wakati wa hicho kikao?
Common colour.Mmoja dressing code ya viongozi Ni hayo mavazi ambayo kuna sehemu maalum hushonwa.Na happy ni coincidence tu kwa wore kujikuta wamevaa mfanano.
Kila Mtu kazaliwa na wazazi tofauti.hawawezi kufanana. Wewe na ndugu zako ( tumbo moja) mnafanana tabia mienendo mapenzi maono?Kumekosekana rais mstaafu wa kuvaa viatu vya mwalimu nyerere, kusema ukweli bila hofu
kweli once a soldier always a soldier, ona jinsi JK anavyotembea/kusimama akiwa amenyooka!
Natumaini amempa somo la uchumi, diplomasia na demokrasia huyo mrithi wake.
Title tu. Alifanya kazi ya ualimuMaalim Seif Sharrif Hamad!
Hii Maalim ni moja ya Majina yake ama title tu?
alikwenda kumwambia aachane na ASSAD ile ni namba tofauti na alizozoea kutumbuatumbua hadharani☻Hahahahahaha
Wamekutana Muda mfupi Baada ya Maalim Seif kujitoa UKAWA
Mambo Mengi Sana Halafu Muda mfupi Sana