Recent content by NMB Tanzania

  1. NMB Tanzania

    Nahitaji pos nmb mwenye nayo tuongee biashara

    Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums, Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako. Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023. goodlif1600 tutumie ujumbe...
  2. NMB Tanzania

    Mkopo NMB: Nimekopa 9 mil , nakatwa 250,000 kila mwezi kwa miaka 6 nitarejesha 18 mil !

    Hello Hivi punde, Pole kwa tatizo lililokukuta,tafadhali tunaomba taarifa kamili za mkopo wako, tawi walipokusaidia kupata mkopo na mawasiliano yako unayopatikana ( namba za simu ) tuweze kufuatilia na kutatua changamoto zilizopo, Tafadhali tutumie PM tukusaidie. Asante sana
  3. NMB Tanzania

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hello Azare, Karibu katika ktawi letu la karibu kuweza kuonana na Afisa mikopo na kukupa taarifa na taratibu sahihi za kutatua tatizo hilo Karibu sana.
  4. NMB Tanzania

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Karibu kufungua NMB Chap Chap Account, piga *150*66# na fungua akaunti sasa. Karibu Sana
  5. NMB Tanzania

    Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

    Unaklik tu bila usumbufu.
  6. NMB Tanzania

    Naomba kujua namna ya kufungua account ya NMB kuptia simu

    Naam Msomi, Kila mtanzania mwenye simu anaweza kufungua akaunti ya benki ya NMB akiwa popote pale kwa kupiga *150*66#. Karibu sana
  7. NMB Tanzania

    Naomba kujua namna ya kufungua account ya NMB kuptia simu

    Tunaomba ufike katika tawi la karibu yako tuwasaidie kufungua akaunti ya kikundi ndugu Jay.
  8. NMB Tanzania

    Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

    Naam ndugu Castr, Unaweza kupata ATM Card, na kuiwezesha kufanya online transaction pindi utakapotutembelea na kuomba rasmi kuwezeshwa kufanya huduma hiyo. Kwa sasa utaweza kuweka, kutoa, kuhamisha, kulipia bidhaa, kupata taarifa mbalimbali za masoko na mitaji, kuwekeza nk Karibu sana.
  9. NMB Tanzania

    Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

    Pole sana Emillias, Tunaomba mawasiliano yako PM kwa ufuatiliaji na msaada zaidi. Asante
  10. NMB Tanzania

    Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

    Naam ndugu, Ni akaunti kamili kama akaunti zingine. Karibu sana
  11. NMB Tanzania

    Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

    Hello Chimdia, Tunaomba taarifa za akaunti yako na namba ya simu unayopaikana tukusaidie (tutumie PM Tafadhali) Asante
  12. NMB Tanzania

    Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

    Kwa sasa ni rahisi kufungua akaunti, piga *150*66# na fungua akaunti BURE.
  13. NMB Tanzania

    NMB Nyumba Day Event - Dodoma

    Hello Mwasipenjele Unaweza kupiga hesabu kiasi unachoweza kupata kupitia Loan Calculator - NMB Bank Plc.
Back
Top Bottom