Habari Mwenye Uzi huu JamiiForums,
Tunashukuru sana kwa mrejesho wako na hamu ya kupata POS za NMB Wakala katika maeneo yako.
Kwa manufaa ya wanajukwaa wote, POS za NMB Wakala zitaanza kupatikana Kwenye matawi yetu yote kuanzia mwisho wa mwezi huu October 2023.
goodlif1600 tutumie ujumbe...
Hello Hivi punde,
Pole kwa tatizo lililokukuta,tafadhali tunaomba taarifa kamili za mkopo wako, tawi walipokusaidia kupata mkopo na mawasiliano yako unayopatikana ( namba za simu ) tuweze kufuatilia na kutatua changamoto zilizopo,
Tafadhali tutumie PM tukusaidie.
Asante sana
Hello Azare,
Karibu katika ktawi letu la karibu kuweza kuonana na Afisa mikopo na kukupa taarifa na taratibu sahihi za kutatua tatizo hilo
Karibu sana.
Naam ndugu Castr,
Unaweza kupata ATM Card, na kuiwezesha kufanya online transaction pindi utakapotutembelea na kuomba rasmi kuwezeshwa kufanya huduma hiyo. Kwa sasa utaweza kuweka, kutoa, kuhamisha, kulipia bidhaa, kupata taarifa mbalimbali za masoko na mitaji, kuwekeza nk
Karibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.