Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

Msaada wa vigezo vya kufungua akaunti NMB

kaffir

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2018
Posts
595
Reaction score
390
Vigezo vp vya lazima ili uwe na account NMB??
 
kama ni mtumishi basi nenda na barua ya kazini. kama weweni mlala hoi kama mm basi ofisi sijui ya mtendaji inahusika
 
Nenda bank ya nmb pale mapokezi watakwambia yoote..
Lakini kwa ufupi kama sio mwanafunzi unatakiwa uende na barua ya mwenyekiti wa mtaa ,sh elf 10 ,passport kama 8 na peni yako..

Pia kuna account ya chap chap hii unaenda na miguu yako tu
 
Naam ndugu,

Ni akaunti kamili kama akaunti zingine.

Karibu sana
Baada ya kuifungua kuna taratibu zingine za kufuata?

Akaunti hii inaniwezesha kupata ATM card?

Naweza kujisajili na online platiforms mfano Payoneer kwa kutumia hii akaunti?

Natanguliza shukrani.
 
Mimi nimefungua akaunti mbili za akiba za watoto,toka Novemba 2017,hadi Leo hii tunamaliza Oktoba 2018,bado sijapewa kadi za watoto,japokuwa wakati nafungua waliniambia napata kadi ndani ya mwezi mmoja tu.
Hii benki imejaa maneno,kuliko vitendo!!
 
Mimi nimefungua akaunti mbili za akiba za watoto,toka Novemba 2017,hadi Leo hii tunamaliza Oktoba 2018,bado sijapewa kadi za watoto,japokuwa wakati nafungua waliniambia napata kadi ndani ya mwezi mmoja tu.
Hii benki imejaa maneno,kuliko vitendo!!
@NMB Tanzania mbona hii hamjibu ? Au haina maslah kwenu?
 
Mimi nimefungua akaunti mbili za akiba za watoto,toka Novemba 2017,hadi Leo hii tunamaliza Oktoba 2018,bado sijapewa kadi za watoto,japokuwa wakati nafungua waliniambia napata kadi ndani ya mwezi mmoja tu.
Hii benki imejaa maneno,kuliko vitendo!!

Pole sana Emillias,
Tunaomba mawasiliano yako PM kwa ufuatiliaji na msaada zaidi.
Asante
 
Baada ya kuifungua kuna taratibu zingine za kufuata?

Akaunti hii inaniwezesha kupata ATM card?

Naweza kujisajili na online platiforms mfano Payoneer kwa kutumia hii akaunti?

Natanguliza shukrani.

Naam ndugu Castr,

Unaweza kupata ATM Card, na kuiwezesha kufanya online transaction pindi utakapotutembelea na kuomba rasmi kuwezeshwa kufanya huduma hiyo. Kwa sasa utaweza kuweka, kutoa, kuhamisha, kulipia bidhaa, kupata taarifa mbalimbali za masoko na mitaji, kuwekeza nk

Karibu sana.
 
Back
Top Bottom